Acha niseme hata kama mtanichukia...

Acha niseme hata kama mtanichukia...

Tafuta hela elfu tano labda Malaya wa manzese na wachafu ngoma nje nje
 
Well said vijana hawajitambui and most of them wapo postive
 
wanaume tunatafuta pesa jasho sana.. ukiacha sisi wachache ambao tunakula kwa ulaini kidogo. ila wanaume wengi ni wapumbavu. wanaenda kufanya kazi ngumu sana. katika mazingira magumu sana.mwisho wa siku wanaenda kuhonga.. wanahonga pakubwa wanabakiza kiasi kidogo .

Tena unaweza kuta wana watoto kabisa. ni aibu kwa wanaume wengi sana. kama unajua wewe ni mhongaji mzuri angalau weka kwenye bajeti kiasi ambcho hakitaathiri matumizi mengine. mimi binafsi nina bajeti ya tsh 5,000 kwa mwezi. hii nimeiweka katika kundi la matumizi ya anasa.
Ulichosema ni kweli ila buku dasi mzee dah!
 
Mgawanyo wa Tsh 5000.
Karanga 4 (2 kwake, 2 kwa mpenz wake) @ 200 = 800
U-fresh juice 2 @ 100 = 200
Jumla 1000. Mara kila wiki = 4000
Inabaki 1000. Ananunua condom pakti 1 kila wiki anatumia kamoja, wiki ya 4 mdada yuko period mtanange unaahirishwa.
Guest house = pagale au porini.
Kila la kheri mkuu!
 
TNaungana na mtoa mada. Wanaume wengi, hasa vijana NI WAPUMBAVU!!

Sisi vijana tulio wengi hatujatoboa, bado tupo kwenye stage ya KUJITAFUTA. Unakuta kakijana kenzangu kanahenyeka kutwa nzima kanalipwa elfu 10-15, kanaenda kuhonga elf 5+. HUO NI UPUMBAVU! Unadhani ndo huyo mwanamke atakuona unampenda au ndo utaonekana unajua kutunza na kuhudumia??? Tuache upumbavu sisi vijana

KUHONGA TUWAACHIE WALE AMBAO TAYARI WAMESHAJIJENGA, anahonga laki 1 siku hiyo ameingiza milioni 10+.

Sisi ambao bado tunajitafuta tujibane, tuwe wabahiri haswaa tutakuja kuhonga miaka ya mbele tukishajipanga
Tena inatakiwa uhonge ziada. Kabla hujahonga unakumbuka wazazi wako je wako ok. Kama wako ok. Unaangalia washkaji zako wamekula?unaangalia wenye shida n.k ndo kama inabaki unahonga 3000 au 5000. Na wengi wanahonga pesa zao tunakuja zitumia sisi na mademu zao.
 
Ndo Leo natambua kwamba nawe umo kwenye chama.
Chama cha Walume ndago. Kuhonga mwisho 5000 jumla kwa mwezi na hapo unakuwa umetoa pesa ya kununulia condom kama demu kalazimisha. Ukiivua unavua vizuri unaiosha for next use.
 
Tuwekee mchanganuo wake itawasaidia na wengine
  1. Helmet
  2. Room
  3. Viburudisho
  4. Nauli
  5. Tip kwa mgeni
1. Helmet unanunua mara moja. Ukitumia unaiosha.hakikisha unapoivua unaivua vizuri kitaalam kama alivyoonesha siku ile prof.

2. Room ya nini kulipia? Kwake au kwa mshkaji au hata sehemu gizani. Kama anataka anasa, anataka room mwenye shida ndo amtafute mganga. Alipie room.

3. Viburudisho ni hizo sehemu za siri.ndo zitawaburudisha...hapo ni kunyanduana tu kula kila mtu kwao.

4. Nauli ya nini? Aje kwa miguu au atafute. Hakuna sehemu ni mbali hapa duniani.

5. Tip? Hii mnapeana yeye anakupa tip nawe unampa ngoma draw.
 
Kila mtu ahonge kulingana na urefu wa kamba yake. Ale starehe kulingana na urefu wa kamba yake.

Ila, fedha ya starehe iwe ni ile ziada baada ya kuondoa fedha za matumizi ya nyumbani..mke na watoto.

Tatizo la wanaume wengine wajinga wanatumbua fedha na kuhonga vi fedha kidogo wanavyopata na kuacha familia zao zikiwa kwenye matatizo makubwa. watoto hawaendi shule, hawapati lishe, mke amechakaa lakini wao hawajali.

MWANUME, jali mke wako, jali familia yako kidogo unachokipata tumia na famila yako...mke atakuheshimu, watoto watakuheshimu, ndugu watakuheshimu na jamii kwa ujumla itakuheshimu bila kujali unapata shs ngapi.
 
Jamani hapa tunajitaji katiba mpya haraka iwezekanavyo...5000sio USD jamani Ni TSh.
 
Wale wanaojiita UWABATA naona wamerudi. Buku 5...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom