To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 19,264
- 34,675
Mwenyewe nilidhani Ivo,tumwache itakuwa ndo anaanza kuyapambania maishaNi Kama kasahau sufuri moja hivi..😅
Mwenyewe nilidhani Ivo,tumwache itakuwa ndo anaanza kuyapambania maishaNi Kama kasahau sufuri moja hivi..😅
😂😂 Anasa ya 5000 hata kulewa hulewi!Mwenyewe nilidhani Ivo,tumwache itakuwa ndo anaanza kuyapambania maisha
Tena amesema hiyo 5000 ni Bajet kwa mwezi!😂😂 Anasa ya 5000 hata kulewa hulewi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌😂😂 Anasa ya 5000 hata kulewa hulewi!
Huishiwi vituko😂😂 Anasa ya 5000 hata kulewa hulewi!
Tena kachukia yupo seriousHuyu katukana wafanya anasa!😂
Mweka mada ndo anavituko maana nikifikiria neno anasa na shilingi 5000 halafu kwa mwezi... Mwambie aende bar akaone mafreemason..😂Huishiwi vituko
The Icebreaker niunganishe nifanye kaz za kiume bas(mambo yote nimemaliza duniani imebaki kusaka pesa tu)Tena amesema hiyo 5000 ni Bajet kwa mwezi!
Atazirai aisee,afu akiona watu bar wanavyonunulia watu bia anaweza jinyongaMweka mada ndo anavituko maana nikifikiria neno anasa na shilingi 5000 halafu kwa mwezi... Mwambie aende bar akaone mafreemason..😂
Anaweza geuka kuwa ile mizimu ya kule arumeru akaanza waponda mawe!..😂Atazirai aisee,afu akiona watu bar wanavyonunulia watu bia anaweza jinyonga
Na mmi nashangaaa maan hata chips kuku hainunuiAnasa elfu 5000 ya kitanzania..![]()


Ety mafreemason ila KenzMweka mada ndo anavituko maana nikifikiria neno anasa na shilingi 5000 halafu kwa mwezi... Mwambie aende bar akaone mafreemason..![]()


akaone waliouza vidole ZimbabweNa hili Jambo lisije bongo maana Kuna watu hawatokuwa na vidole😂Ety mafreemason ila Kenzakaone waliouza vidole Zimbabwe
Mkuu; Usishangae, miaka ya mbele ukishajipanga utagundua kwamba kumbe kuhonga ni UPUMBAVU wa kiwango cha kimataifa na kwa hivyo hutahonga kamwe.Naungana na mtoa mada. Wanaume wengi, hasa vijana NI WAPUMBAVU!!
Sisi vijana tulio wengi hatujatoboa, bado tupo kwenye stage ya KUJITAFUTA. Unakuta kakijana kenzangu kanahenyeka kutwa nzima kanalipwa elfu 10-15, kanaenda kuhonga elf 5+. HUO NI UPUMBAVU! Unadhani ndo huyo mwanamke atakuona unampenda au ndo utaonekana unajua kutunza na kuhudumia??? Tuache upumbavu sisi vijana
KUHONGA TUWAACHIE WALE AMBAO TAYARI WAMESHAJIJENGA, anahonga laki 1 siku hiyo ameingiza milioni 10+.
Sisi ambao bado tunajitafuta tujibane, tuwe wabahiri haswaa tutakuja kuhonga miaka ya mbele tukishajipanga
Ww bahiri sana!wanaume tunatafuta pesa jasho sana.. ukiacha sisi wachache ambao tunakula kwa ulaini kidogo. ila wanaume wengi ni wapumbavu. wanaenda kufanya kazi ngumu sana. katika mazingira magumu sana.mwisho wa siku wanaenda kuhonga.. wanahonga pakubwa wanabakiza kiasi kidogo .
tena unaweza kuta wana watoto kabisa. ni aibu kwa wanaume wengi sana. kama unajua wewe ni mhongaji mzuri angalau weka kwenye bajeti kiasi ambcho hakitaathiri matumizi mengine. mimi binafsi nina bajeti ya tsh 5,000 kwa mwezi. hii nimeiweka katika kundi la matumizi ya anasa.
Waache wahonge wa kuwasaidia majukumu tupo!wanaume tunatafuta pesa jasho sana.. ukiacha sisi wachache ambao tunakula kwa ulaini kidogo. ila wanaume wengi ni wapumbavu. wanaenda kufanya kazi ngumu sana. katika mazingira magumu sana.mwisho wa siku wanaenda kuhonga.. wanahonga pakubwa wanabakiza kiasi kidogo .
tena unaweza kuta wana watoto kabisa. ni aibu kwa wanaume wengi sana. kama unajua wewe ni mhongaji mzuri angalau weka kwenye bajeti kiasi ambcho hakitaathiri matumizi mengine. mimi binafsi nina bajeti ya tsh 5,000 kwa mwezi. hii nimeiweka katika kundi la matumizi ya anasa.