Acha niseme hata kama mtanichukia...

Acha niseme hata kama mtanichukia...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,180
Reaction score
22,801
Wanaume tunatafuta pesa kwa jasho sana.. ukiacha sisi wachache ambao tunakula kwa ulaini kidogo. ila wanaume wengi ni wapumbavu. wanaenda kufanya kazi ngumu sana. katika mazingira magumu sana.mwisho wa siku wanaenda kuhonga.. wanahonga pakubwa wanabakiza kiasi kidogo .

Tena unaweza kuta wana watoto kabisa. ni aibu kwa wanaume wengi sana. kama unajua wewe ni mhongaji mzuri angalau weka kwenye bajeti kiasi ambcho hakitaathiri matumizi mengine. mimi binafsi nina bajeti ya tsh 5,000 kwa mwezi. hii nimeiweka katika kundi la matumizi ya anasa. Humo ndo nitahonga kama ni voucher au pesa ya soda. Tena naangalia sababu za msingi. 5,000 kwa mwezi ukipiga kwa mwaka si 30,000? Hapo hujanunua cement au kumtumia mother huko Mbwinde au Samvula Chole?

Acheni Ujinga... Kuhonga ni mapenzi ya kizamani na ya kishamba. Mjini wajanja mnapendana mnapeana mapenzi kwa kadri mtu anavyojisikia.

Umoja wa Wanaume Bahili Tanzania.Chama cha Walume ndago. Kuhonga mwisho 5000 jumla kwa mwezi na hapo unakuwa umetoa pesa ya kununulia condom kama demu kalazimisha mtumie condom. Ukiivua unavua vizuri unaiosha for next use. Bajeti ya matumizi isidizi 5,000.
 
tena unaweza kuta wana watoto kabisa. ni aibu kwa wanaume wengi sana. kama unajua wewe ni mhongaji mzuri angalau weka kwenye bajeti kiasi ambcho hakitaathiri matumizi mengine. mimi binafsi nina bajeti ya tsh 5,000 kwa mwezi. hii nimeiweka katika kundi la matumizi ya anasa.
Tuwekee mchanganuo wake itawasaidia na wengine
  1. Helmet
  2. Room
  3. Viburudisho
  4. Nauli
  5. Tip kwa mgeni
 
Ubaya ni kuwa ugumu tunaouona sisi wao kwa kiasi flani wameshauzoea kama sehemu ya maisha yao kwa hiyo akihonga huku kesho anaenda kubeba magunia anaona kawaida
 
Naungana na mtoa mada. Wanaume wengi, hasa vijana NI WAPUMBAVU!!

Sisi vijana tulio wengi hatujatoboa, bado tupo kwenye stage ya KUJITAFUTA. Unakuta kakijana kenzangu kanahenyeka kutwa nzima kanalipwa elfu 10-15, kanaenda kuhonga elf 5+. HUO NI UPUMBAVU! Unadhani ndo huyo mwanamke atakuona unampenda au ndo utaonekana unajua kutunza na kuhudumia??? Tuache upumbavu sisi vijana

KUHONGA TUWAACHIE WALE AMBAO TAYARI WAMESHAJIJENGA, anahonga laki 1 siku hiyo ameingiza milioni 10+.

Sisi ambao bado tunajitafuta tujibane, tuwe wabahiri haswaa tutakuja kuhonga miaka ya mbele tukishajipanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom