Kuna watu wana dharau sana yaani wao wanajiweka nafasi ya muumba , ndiomaana akiona wanazidi anawala kichwa fasta MUNGU hadhihakiwi hata siku moja iwe kwa madaraka yako ama hela zako angalia mwendazake yuko wapi sasa kiburiiii mwishom wake uko wapi
we ninyime tuu hicho ni chakula cha mchwaa... dah haya maneno enzi hizo papuchi ikiwa na heshima vijana wa kiume waliyasema sanaa walipokuwa wakinyimwa
Hizo ni kauli za wasionavyo wanaoishi kwa imani sio kwa pesa wakihisi watumiaji aa pesa wana dharau muda wote.....adharau, asidharau wote njia ni moja. Kila mtu apambane tu na hali yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.