Dunia Ina mengi my brother..kwangu ni Bora mtu asitishe mahusiano kama Hana hisia Tena na Mimi kuliko kuishi nae kwa vitukoHakuna ustaarabu wowote, anaachaje mtu kisa tu hisia zake zimeleta shoti kwenye likichwa lake kama mtungi mdogo wa oryx?
Why asiheshimu mtu from the start?
Wastaarabu Kama hao Mungu awatunze,,sio mbuzi nyingine ikikuacha mpaka ikupe maneno ya kashfa na na karaha.Na niliondoka bila kuumia moyoni, bila lawama wala kilio kjwa nimeachwa.
Niliondoka na furaha na amani ya kuachwa kistaarabu...🤣🤣🤣🤣
Nikalipiwa na trip ya Zanzibar siku 2 hotelini niko mwenyewe....😁😁😁
Nimsahau kwa starehe sio kwa huzuni...😆😆😆.
Maisha bana, yana vitimbwi na visa kedekede 😅😅.
As they always say it's best to be defeated graciously than be victorious in humiliation. Besides, acceptance of our fate is a step away from disappointments........Yeah and I humbly accept the situation.
huyo ni wewe mwenyewe usituzuge,,,,tafuta hela, tafuta hela ,, narudia tena tafuta hela kijanaJuzi kuna mashikaji wangu kaachwa Eti Lisa yeye mkubwa kumzidi demu kama Miaka 7 hivi wamepishana
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Nilimuacha yule msafwa alikuwa hanogi jmn yaan alipoaa km uji wa magimbiiiiGood morning watu wa Mungu.
Basi wakati tukiendelea kuisubiri ndege yetu mpya ya mizigo kutua.nimeona niwaulize haka kaswali.
Juzi kati hapa nimekutana na ex girl wangu,sasa katika story za hapa na pale tukajikuta tunaanza kuulizana viswali vya kichokozi, nilimuuliza tatizo langu kubwa lilikua nini katika yale mahusiano yetu? akanijibu eti aliona kuna jam kubwa sana ya wanawake wanaonitaka hivyo akaona isiwe kesi ngoja awaachie na wengine wafaidi.
So ebu kila mmoja wetu aweke wazi hapa tatizo lake kubwa ambalo ex wake anasema alikua nalo.
This is me. Huwa si-entertain ujinga. Dakika Sifuri tu nawasha Tanurinilikuwa grumpy, hasira za karibu
Ngoja nidandie tren kwa mbele 😂😂😂😂😂😂This is me. Huwa si-entertain ujinga. Dakika Sifuri tu nawasha Tanuri
Ndio mkuu, akileta pigo sizo nakinukisha zaidi ya VIZA (yai)Ngoja nidandie tren kwa mbele 😂😂😂😂😂😂
Mzee wa kukiwasha
Ujakutana na vichwa panzi wewe...Ndio mkuu, akileta pigo sizo nakinukisha zaidi ya VIZA (yai)
Mkuu kichwa yangu mbovu aisee.. By nature ni mpole ila mtu akishaleta masuala ya kiduanzi aisee...Ujakutana na vichwa panzi wewe...
Mbona ungekaa alaaah😂😂😂
na yeye anapanda, huku akisema "nipige kama wewe mwanaume kweli"Ndio mkuu, akileta pigo sizo nakinukisha zaidi ya VIZA (yai)
😬 😬 🤣 🤣 🤣 🤣Mkuu kichwa yangu mbovu aisee.. By nature ni mpole ila mtu akishaleta masuala ya kiduanzi aisee...
Kuna demu nilikuwa namfukuzia, nikafika hatua nzuri kabisa. Alikuwa amezoea kuniita chaupole sababu naonekana mpole. Sasa alikuja kujichanganya kutaka kubaki na Hela zangu wakati nimemuagiza dukani.. ananichekea muda huo nipo serious ananletea utani. Nilichomfanyia hakuwahi kutegemea ningefanya kwa nilivyokuwa namkubali. Since then hata salam hakuna na sihitaji tena
Oyaaaa.. Nilipigwa na demu flani aisee Wakurya ata kama kazaliwa Dar Ni wababe.This is me. Huwa si-entertain ujinga. Dakika Sifuri tu nawasha Tanuri
Jamaa alikuwa sahihi. Una namba yake nimfanyie muamala ajipongeze hata maji makubwa?na yeye anapanda, huku akisema "nipige kama wewe mwanaume kweli"
huwa simlaumu kabisa yule Isaack wa Arusha, mzee wa pliers na meno
Kuigusa ndio nini mkuu, na mimi ntaigusaje? Mwanaume ukimgusa mboo anajua unaitaka sababu hakuna mtu anaigusaga mboo yake zaidi yake ye mwenyewe na mwanamke anaemtombaga... Huo ndio ukwelianatakiwa afanye umafia aiguse kabla,, inamtosha ama niaje
Ndio hivyo kaka, muda mwingine unatakiwa kuwa TANESCO.. kata kabisa umeme😬 😬 🤣 🤣 🤣 🤣
Kama ulikosea ukaomba radhi akagoma, ni sahihi kubeba Hiyo adhabu kama alionao ni sahihi kwako..Oyaaaa.. Nilipigwa na demu flani aisee Wakurya ata kama kazaliwa Dar Ni wababe.