According to your ex, what is wrong about you?

According to your ex, what is wrong about you?

Eti nikinunua Prado ndio nimfuate, IST ni umama kisa yeye anaela zaidi. Nachoshanga akiwa na hamu zake ananipigia utasikia naomba nilete kitu Fulani, mara ninaumwa niletee dawa ukienda kwake anani seduce mpaka mkumbushiane bàada ya hapo mnapotezeana zaidi ya mwezi. Inaniboaga sana hii
 
Kuna hela alipata tukapishana alitaka kununua gari toyota wish mm nilimshauri asubiri kwanza ,,,,tuangalie fursa zingine
Tukapishana sana mm nikaamua kukaa pembeni nikaachana nae
Kwenye mahusiano usimpangie mwenzio hela yake afanyie nini kazi yako ni ushaurii tu asiposikiliza usilazimishe hayo mambo yanalazimishwa kwenye ndoa tu
 
Daaah asee me wanawake wengi wananiach na kunipa sababu ya kuwa sijui ku care, Yan si wapi mda mwingi wakuwanao tukiwa katk mahusiano 🤨
Kuna lenzio na lenyewe linajifanya Kama wewe kwanza hapigagi Simu kazi ni kunitafuta WhatsApp tu nimeamua kumfanya mchepuko kama alivyo nifanya mimi
 
Back
Top Bottom