According to your ex, what is wrong about you?

According to your ex, what is wrong about you?

Naonekana nina pesa at first sight halafu wanakuja kwa taswira hio au wanashawishika kwa taswira hio na wanaondoka baada ya kuona ubahili mkuu kama mlima Kilimanjaro.

True hua naanza kuipima kwa njaa na matarajio ya vitu, namkula demu kisha Nampa nauli elfu5 au elfu10, 15, 20 then kuna Mbwa wanaona hio pesa ndogo, nawaambia I don't give something that I can not give regularly, repeatedly or sustainably

Baadhi akiona ndogo nawaambia ebu Lete hio pesa , akinipa nawaambia nenda chooni kanye mavi ya pesa kama hii au mara mbili yake mimi ntakupa mara 3 ya hio pesa.

Wanawake ni Mbwa wanyonya damu Kataa hisia tombaaa kisha asepe natombaa nikiamini nndio nafasi pekee ijirudie isijirudie sina habari
 
Naonekana nina pesa at first sight halafu wanakuja kwa taswira hio au wanashawishika kwa taswira hio na wanaondoka baada ya kuona ubahili mkuu kama mlima Kilimanjaro.

True hua naanza kuipima kwa njaa na matarajio ya vitu, namkula demu kisha Nampa nauli elfu5 au elfu10, 15, 20 then kuna Mbwa wanaona hio pesa ndogo, nawaambia I don't give something that I can not give regularly, repeatedly or sustainably

Baadhi akiona ndogo nawaambia ebu Lete hio pesa , akinipa nawaambia nenda chooni kanye mavi ya pesa kama hii au mara mbili yake mimi ntakupa mara 3 ya hio pesa.

Wanawake ni Mbwa wanyonya damu kataa hisia tambaaa kisha asepe natambaa nikiamini nndio nafasi pekee ijirudie isijirudie sina habari
 
Mimi na KENZY aka Kiberenge sidhani kama tuna tofauti. Tumeshaachwa mno mpaka unashindwa kujua tatizo langu hasa ni lipi. Ukiwa na hili ambalo aliepita alikubwagia huyu anakuacha kwa lingine. Sisi kuachwa ishakuwa sehemu ya maisha yetu
 
Mimi na KENZY aka Kiberenge sidhani kama tuna tofauti. Tumeshaachwa mno mpaka unashindwa kujua tatizo langu hasa ni lipi. Ukiwa na hili ambalo aliepita alikubwagia huyu anakuacha kwa lingine. Sisi kuachwa ishakuwa sehemu ya maisha yetu
Mh!...😂
 
Mimi aliniambia haya

1.niwe Nampa elfu hamsini kutoka kwenye mshahara wangu kila mwezi na ukizingatia ndio kwanza nimeanza kazi na mshahara ni mdogo

2.nimlipie Kodi ya kila mwezi kwake

3.nimpende na kumjali mtoto wake kama vile ni wangu

NB.Pamoja na masharti yote haya akasema atakuwa analala kwangu mara mbili tuu kwa wiki na akasema usiku nisiwe nampigia simu Sana.na tunakaa mitaa ambayo nauli ni buku tuu kwa pikipiki mpaka kwangu

#nikamwambia aje geto tuzungumze nimpe shingapi Ila akakomalia anataka hivyo vitu ,,ndo akakaza tuachane na Mimi ikabidi nitulie tuu.
#Je nyie ndugu zangu mngefanyaje??
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Sababu yako ya kuachana na eksi pulllliiiiiiiiiiiiiiizz!!! 🙇🙇🙇🙇😁😁😁😁😁!!!

Au ndo Hujawahi kuachanaga na mutu yeyote??🤨🤨😒🤔
Ex means expired...
Kiumbe kisichokua na uhai ndiyo ex...
Ila kama bado unapumua mimi sikumbuki kama nishawahi kua na ex sijawahi zika mtu...

😅😅
 
pia sikuelewa vizuri sababu hiyo maana ilikua kila siku nikitoa maelekezo au mawazo ya kifamilia analalama tu, ooh wewe si ndio mwenye elimu, sisi wengine hatujasoma na hatuna mawazo n.k

mwishowe akasonga mbele na sikua na haja ya kubabaika nae mpaka kesho japo tulifanikiwa kupata kijana moja wa kike pamoja 🐒
Sasa mwanamke wa namna hiyo hana elimu anajistukia hivyo na ni mwanamke huyo angepata elimu ndio wale wanawake wenye dharau sababu ameelimika bora hata hajapata na elimu yenyewe.
 
Nilikuwa nampenda sn sn hili lilisababisha migogoro kila mara so tulishndwana kbs. Now naish na mwanamke ambaye simpend sn bt she is a really wife material sina cha kumkosoa, ananipenda, ananitii, ana elimu drs la 7 tu, mchapa kazi sn, yupo tyr kwa lolote bcoz of me. Bt ni mbumbu hawez nishauri ktu yan kiufahamu nimemzd mbali sn , hujui mambo meng sn yanayoendelea duniani.
 
Back
Top Bottom