According to your ex, what is wrong about you?

According to your ex, what is wrong about you?

Sasa utamhukumu vip mtu kwa maumbo yake aliyozaliwa nayo?
natural hazards hazards na man made disaster mbona inajulikana tu kirahisi gentleman!

ile sugu amezaliwa nayo sio huko chini?🐒
 
Mi binafsi alivoniacha alikujaga kunambia kuwa mi sina shida yeyote ni vile tu hana hisia na mimi.
Vipi wewe ex wako alisema shida nini mpka mkaachana?
Na malengo makubwa nakujiskia sana nikiwa nazo yakuwa nta mnyanyasa niki zipata.
 
Ni kweli ila haiwagi rahis kivilee
Wewe ulishaingia mkenge mkuu,,,,ex hawekwi karibu, ni mtu anayeweza hata kukuua, mkiachana funga ukurasa , anza mwingine ! Kwenye ule uzi wako kuna mahali ulisema watoto walivyoshuka kwenye gari mama yao alibaki na nadhan mlikiss ! Sio afya sana japo wapendanao hawashauriwagi
 
Wewe ulishaingia mkenge mkuu,,,,ex hawekwi karibu, ni mtu anayeweza hata kukuua, mkiachana funga ukurasa , anza mwingine ! Kwenye ule uzi wako kuna mahali ulisema watoto walivyoshuka kwenye gari mama yao alibaki na nadhan mlikiss ! Sio afya sana japo wapendanao hawashauriwagi
HAtuku kiss.
Kwa mazingira kama yangu mkishakua na watoto ni kaz sana mkuu. Si entertain ukaribu kwa namna yoyote ile chief.
 
Mi binafsi alivoniacha alikujaga kunambia kuwa mi sina shida yeyote ni vile tu hana hisia na mimi.
Vipi wewe ex wako alisema shida nini mpka mkaachana?
Sina shida yoyote ananitaka sana turudiane, ananipigia simu hata dakika kumi zilizopita katoka kunipigia, ila nimemblock simu zinaenda straight to voicemail.
 
Back
Top Bottom