According to your ex, what is wrong about you?

According to your ex, what is wrong about you?

Mi binafsi alivoniacha alikujaga kunambia kuwa mi sina shida yeyote ni vile tu hana hisia na mimi.
Vipi wewe ex wako alisema shida nini mpka mkaachana?
Mimi alisema kwasababu nimegoma kukaa naye sogea tuishi
 
Mi binafsi alivoniacha alikujaga kunambia kuwa mi sina shida yeyote ni vile tu hana hisia na mimi.
Vipi wewe ex wako alisema shida nini mpka mkaachana?
Sikimbuki kama nishawahi kuachwa. Mimi nikiona red flag au kosa moja linajirudia baada ya kutoa onyo huwa na-withdraw interest zote kwenye hayo mahusiano halafu demu mwenyewe ndio atajiongeza kwamba haitajiki tena.
 
Mi binafsi alivoniacha alikujaga kunambia kuwa mi sina shida yeyote ni vile tu hana hisia na mimi.
Vipi wewe ex wako alisema shida nini mpka mkaachana?
Kauli nyepesi ni tayar alikuwa kwenye mahusiano mengine huku akiwa na wewe.

Huyo boy mwengine alimpenda zaidi yako na seems like huyo jamaa alijua kama ana date na wewe hivyo akataka demu wako achague moja.
 
Nadhani mimi ni moja ya watu wachache duniani ambao hawana X, mke wangu ndio mwanamke wa kwanza kumtongoza.
Hivyo sijawahi achwa wala sijawahi kukataliwa.
Aiseee hongera sana muwe hivyo hivyo kaka
 
Kwenye mahusiano usimpangie mwenzio hela yake afanyie nini kazi yako ni ushaurii tu asiposikiliza usilazimishe hayo mambo yanalazimishwa kwenye ndoa tu
Mim natumiaga mfumo dume wenye hekima kwenye mahusiano mapema kabisa ili anijue mapema ,asije akasema nimebadilika kwenye ndoa
 
Eti walokole tunajiona sana Kama tuko na Yesu huku Mbinguni, Kama siwezi kuwa mkatoriki Bora atafte mkatoriki mwenzie.
 
Eti nikinunua Prado ndio nimfuate, IST ni umama kisa yeye anaela zaidi. Nachoshanga akiwa na hamu zake ananipigia utasikia naomba nilete kitu Fulani, mara ninaumwa niletee dawa ukienda kwake anani seduce mpaka mkumbushiane bàada ya hapo mnapotezeana zaidi ya mwezi. Inaniboaga sana hii
Shtuka wewe she is using you kama toilet paper. Man unakuaje manipulated kirahis namna hii???
 
Nadhani mimi ni moja ya watu wachache duniani ambao hawana X, mke wangu ndio mwanamke wa kwanza kumtongoza.
Hivyo sijawahi achwa wala sijawahi kukataliwa.
Miez kadhaa iliopita na mimi nilikua kama wewe exactly. Boooomm!! Tumekua ma-ex 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom