wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,028
- 1,695
Kweli nyie maku hiv kusaini asilimia 4 ni nan mafala ninyi acheni kutuchezea akiliTuliwapa watuibie?
Kweli nyie maku hiv kusaini asilimia 4 ni nan mafala ninyi acheni kutuchezea akiliTuliwapa watuibie?
Halafu akae nani? Mamvi na sumaye ambao hawahusiki na mikataba ya madini?Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani
Sisi tunaweza kulinda popote pale tunapotaka. Muda wowote Bila kuzuiwa na mtu yoyote mkuu...Mitale, Sijawahi kusikia mgambo wanalinda "...people and assets..." kwa kutumia lugha kama hii "...in the best possible way..." Kufikia hapo tayari kuwa hao waliopo hawana uwezo huo. period Ya kuwalinda in the best posible way
Ina maana hatuhitaji askari wetu wapolisi au jeshi wawe na silaha za moto kulinda mali na watu wake? au unaweza kunisahihisha
Sijasema hakutakuwa na usalama mtaani, ila nafikiria kama, na hii ni kama tu, kama wataajiri mamluki itakuwa ina maana hawana confidence na vyombo vyetu vya Usalama. Na kama sivyo hivyo, na hao wamefundishwa kwa sheria za kimataifa za kiusalama, kwa nini uwaajiri G4s? oooh "outsourcing" just another legal business practise!
Nahili linanisumbua kwani baada ya kuniibia, unanitukana kwa namna moja au nyingine kuwa sina uwezo wa kujua hili au kuendesha uchunguzi by kutaka an "independent inquiry" na kuongeza chumvi kuwa hata majeshi ya nchi yangu hayana uwezo wa kukulinda na mali "zetu"?
Kama mnakula rambi rambi mtawaweza wenye dollar ?Halafu akae nani? Mamvi na sumaye ambao hawahusiki na mikataba ya madini?
Jibu swali ikitoka ccm akae nani?Kama mnakula rambi rambi mtawaweza wenye dollar ?
Sasa tatizo lipo wapi!!!....migodi hii hawajaweka hela kidogo wana haki ya kuwa na ulinzi madhubuti maana kwa sasa wao wanajiona kama wanaonewa na labda serikali wnaweza shirikiana na wananchi/wafanyakazi katika kuwahujumu zaidiKatika kile ambacho kinazungumziwa na "Wanasheria" sasa wazungu kuletwa Kulinda mali na wafanyakazi(wazungu) wa Accacia
Kwa udadisi mfupi niliyofanya baada ya Accacia kutoa matamshi haya, "We have decided to outsource our security staff, because we believe that by doing so our people and assets will be protected in the best possible way" hayo yalisemwa na Meneja wa mawasiliano ya umma Nectar Foya wa Accacia.
Maoni yangu ni kuwa Vita hii bado itaendelea. Walakini, Kuna umuhimu wa bunge au vyombo vikuu vya serikali kuingilia haya tusije tukawa kama Ivory coast, au Angola.
Vivyohivyo, "Haingii akilini" kuwa hata ndani ya mikataba hiyo kunaruhusu kuleta Askari kutoka nje ili kuwalinda "wazungu" na mali "zetu" What a shame!
"Haiingii akilini" kuona jinsi hawa watu wachache( Uongozi wa Accaia Tanzania) wanavyoweza kuvunja heshima ya majeshi ya ulinzi wa Tanzania.
Kuna ulazima wa kuungana katika vita hii #TZ-Nomercenariesforourgold
Ila wewe jamaa muungwana Sana ila Upo faster sana Mkuu nipe siri yakoHamna tatizo mkuu...Jukwaa la JF ni huru kwa mtu yeyote aliyesajiliwa kucomment kwa hiyo ni kawaida tu...Hamna tatizo, sio lazima kuwahi kila mahali
Vita hivi havitaacha mtu salama.
Kodi halali ni ipi, si tunapewa tulichokubaliana, au ndo ganzi inawaisha. Labda muwashtaki kwa udanganyifu kama itathibitika pasi na shaka yoyote. Ndo malipo ya tamaa, ubinafsi, uchoyo na kutaka kujilimbikizia mali kati ya maskini mamilioni waliowachagua (kama ni kweli). Unalimbikiza mali ambazomutazitumia mpaka unakufa.Hata walete drones....Kuibiwa ni mwisho...kodi halali lazima ilipwe...na kilichoibwa kirejeshwe
Samaki wa Magufuli walitufanyaje? Au umesahau mkuu. Mtu mzima awezi badili tabia yake kirahisi. Tusubiri tuone na Mungu amtangulie.Hapo ndipo najilaumu huyu mtu alichelewa wap? Na najua amezoa confidence ya kutosha na tecniques za kukwepa mishale dhidi ya hawa wezi wa ulaya toka kwa mzee poo wa kagame.
Nchi ina adab sasa hivi walau
Mijitu mingine bwana eti mi niko upande wa accacia alafu linaweka alama ya kuuliza.sasa unamuuliza nani?nenda na accacia wako.Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani
Ulitaka niwe fisiem?Mijitu mingine bwana eti mi niko upande wa accacia alafu linaweka alama ya kuuliza.sasa unamuuliza nani?nenda na accacia wako.
Mkuu ni kweli una uhuru wa kukaa upande wowote.... Inauma sana awajamaa walio uza mali zetu ovyo ovyo kwa tamaa zao....Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani
ukiwa fisi au kima kimpango wako.Ulitaka niwe fisiem?
Hoja hafifu unatuletea kijana.Mie nipo upande wa accacia ? Why mliwapa wenyewe sasa mnalia lia vita hii lazima fisi watoke madarakani