Tetesi: Acacia keleta Askari Wazungu/Mamluki

Maana ya outsourcing ni kutoka nje ya kampuni yao na tenda wamepata g4s.

Hakika hayo ya tenda sijui, kuna sababu nyingi za kuanzisha uzi, majibu ya mtiririko kama yako ndio Wananchi/Watanzania wanahitaji.

Hivi sasa inaonekana kuwa maamuzi mengi yanayofanywa na hawa "wezi" kwa namna moja au nyingine aidha ni kutapatapa, au to create precendence known to them! Kuingiza hofu na kutengeneza matabaka, perhaps?[/QUOTE]
Hiyo tenda waliyopewa G4S ilitangazwa muda mrefu ht kabla ya kizaazaa cha Copper concentrate hakijaanza,hebu tuwe realistic tusipotoshe umma
 
waliosign walisoma iyo mikataba inasemaje?? msitufanye wakinabashite and why iyo mikataba imekuwa confidential while its national resources izo endeleeni kukurupuka na ubashite wenu na ikija mingine wekeni sign tu baadae mje mseme tunaibiwa idiots
 
Outsourcing of none core function is the global best practice for cost cutting. But for unscrupulous employees can be used as the room for importation of employees unnecessarily, tax evasion, room for underpaying,

Kwa acacia sielewi kama watu wamekuwa wakikufanyia kazi miaka yote leo mnakaribia kufunga baadhi ya biashara zenu ndio mnakumbuka hilo....

Ndio maana tunasema serikali yetu iwe makini Kila jambo iliangalie kwa jicho la 360°
Wazungu ni wajanja sana...

Sijakataa outsourcing ya namna yeyote, lakini pale mbwembwe zikiwa ni kutafuta njia zingine za kuleta vurugu halafu waje kusema "kwa sababu ya kukosa $1 million moja" kwa siku ndio sababu tumepunguza kazi(hakuna kosa hapo) "Askari" inaleta nadharia tofauti.

Upo uwezekano kuwa hawa walinzi wana ujuzi wa kushika na kutumia silaha, wakiondoka huko itakuaje(bila mishahara n.k) maslani kati ya hao 400 wanaoenda kuwaachisha kazi hao askari watakuwa kama 80-100 itakuwaje?
 
HAWA WAZUNGU WAKIGUSWA VIBAYA WATATULETEA CIVIL WAR...................TUWE NAO MAKINI
 
Sijakataa outsourcing ya namna yeyote, lakini pale mbwembwe zikiwa ni kutafuta njia zingine za kuleta vurugu halafu waje kusema "kwa sababu ya kukosa $1 million moja" kwa siku ndio sababu tumepunguza kazi(hakuna kosa hapo) "Askari" inaleta nadharia tofauti.

Upo uwezekano kuwa hawa walinzi wana ujuzi wa kushika na kutumia silaha, wakiondoka huko itakuaje(bila mishahara n.k) maslani kati ya hao 400 wanaoenda kuwaachisha kazi hao askari watakuwa kama 80-100 itakuwaje?
Askari wa migodini ni kama auxiliary polices hawana effects yoyote mtaani kwa maana ya usalama. Wale ni wapole kuliko hata police jamii...
Kule kwa sheria zao hairuhusiwi hata kumpiga kirungu mwizi. Wnafundishwa sheria za kimataifa za usalama...
Ni Sawa na kusema kk security guard wakifukuzwa hakuta kuwa na Amani mtaani...

Kikubwa ni sababu ya kuwafukuza ndio inaukakasi.
 
Yale madini wanayochimba ni mali yao kwa mujibu wa mikataba na wanayo haki ya kuyalinda na kuwalinda watu wao. Mnaweza kuona ni kitu kigeni sana lkn makampuni yanayomilikiwa na ACACIA miaka yote yana utamaduni wa kulindwa na wazungu

Kama sintakosea, inakuwa mali yao pale wanapochimba/kutoa ardhini sawa?

Kuleta mamluki(outsourcing) ni mengine, kuwaachisha "Askari" maana yake nini? Au hili halina maana yeyote? kumbuka ukiandika kitu au kusema kitu lazima kilete au kiwe na maana fulani?, na kama siyo hivyo basi ndio yanakuwa upuuzi? au Sasa tuwaachie wafanye mambo ya kipuuzi?

Hakika wanahaki ya kujilinda, wana haki ya kuwafukuza waajiriwa lakini hatuwezi wao wabadilishe nadharia. Wameiba kwa kutumia mapungufu, na ulaghai, bado ni wizi tu.

Wana uwezo wa kutafuta mikopo na kupata mikopo ya kuendesha biashara zao, kumbuka kwamba bado wanachimba na makontena yamekuwa yakipandiliana, watauza baadae au siyo?
 
Hamna mpuuzi yoyote yule duniani anaeweza kushindana na serikali kwa maslai yake binafsi......

Halafu wezi acacia wao wanaangaika kama vile kuku mwenye mdondo... Magufuli wala haumizi kichwa kuhusu hawa wezi.... Nashangaa mtu anasema hii vita hao acacia wanapigana na nani?

Hawa acacia ipelekwe hoja ya dhalura bungeni kupitisha seria ya kuwadaka hawa wezi wote wenye kampuni ya acacia wakusanywa mahali pamoja walipuliwe na bomu la kutungua ndege za kivita..
 
Ndugu zangu, Wananchi, Watanzania wenzangu na wapenda Amani wote.

Mpaka hapa tulipo fikia katika uzi huu bado ni Tetesi, na hizo ni tetesi zangu binafsi. Katika hiyo "Outsourcing" hawajasema kiunagaubaga kuwa wataajiri nani, so far kuna mchangiaji aliyesema kuwa kuna tenda, na hiyo tenda inakwenda kwa nani.

Sembuse haya yana ukweli, labda Accacia waje kukanusha, na kutueleza kiunagaubaga kwa nini wanafanya hayo, haswa pale ambapo taarifa ya pili inakuja Baadae.

Kwa sasa kila kitu "Accacia" kinaonyesha kutapatapa kwao au ni kujiwekea mandhari mazuri ya kisheria pale "Wananchi" tukiamua kuwa huu mkataba basi, 'chukua chako tuachie chetu' au ni kawaida tu ya uendeshaji wa makampuni kama Accacia.

Hakuna kuogopa wala kuweka jazba za kuogopa hapa. "Kazi tu"

They are under scrutiny
 
Usikute kipengele cha kuwaleta askari wa kizungu ndani ya mkataba kimo... Ccm wakiona pesa hawasomi maandishi
 
Kuna taarifa manager wao ameshakimbia nchi.

Safari hii wataelewa Mh. Magufuli alipokuwa anatuambia hatatuangusha alikuwa anamaanisha nini.

Sasa hivi kashikilia rungu atawashikisha adabu mafisadi wote.

Go Magufuli.
Kama kweli ni uthubutu avunje mikataba yote mibovu ya madini na viongoz waliousika na mikataba hii washitakiwe wote hata wale wabunge waliopitisha upuuzi kwa ndioo tupa kule .jela madini yetu sisi %4 mabaya sana kwa mfano HIZO BILION MIA NANE ZA MAKINIKIA ZETU NI BILION AROBAINI INAUMA SANA NDOO MAANA MBUNGE KESSY ANAPENDEKZA WAHUSIKA WOTE WANYONGWE
 
Hata wakileta askari wa UN sisi tunataka kodi zetu,kama mchanga ni wakujengea tutawapa mchanga mwingine, sasa tunaitaifisha mgodi no option.
 
Askari wa migodini ni kama auxiliary polices hawana effects yoyote mtaani kwa maana ya usalama. Wale ni wapole kuliko hata police jamii...
Kule kwa sheria zao hairuhusiwi hata kumpiga kirungu mwizi. Wnafundishwa sheria za kimataifa za usalama...
Ni Sawa na kusema kk security guard wakifukuzwa hakuta kuwa na Amani mtaani...

Kikubwa ni sababu ya kuwafukuza ndio inaukakasi.


Mitale, Sijawahi kusikia mgambo wanalinda "...people and assets..." kwa kutumia lugha kama hii "...in the best possible way..." Kufikia hapo tayari kuwa hao waliopo hawana uwezo huo. period Ya kuwalinda in the best posible way

Ina maana hatuhitaji askari wetu wapolisi au jeshi wawe na silaha za moto kulinda mali na watu wake? au unaweza kunisahihisha

Sijasema hakutakuwa na usalama mtaani, ila nafikiria kama, na hii ni kama tu, kama wataajiri mamluki itakuwa ina maana hawana confidence na vyombo vyetu vya Usalama. Na kama sivyo hivyo, na hao wamefundishwa kwa sheria za kimataifa za kiusalama, kwa nini uwaajiri G4s? oooh "outsourcing" just another legal business practise!

Nahili linanisumbua kwani baada ya kuniibia, unanitukana kwa namna moja au nyingine kuwa sina uwezo wa kujua hili au kuendesha uchunguzi by kutaka an "independent inquiry" na kuongeza chumvi kuwa hata majeshi ya nchi yangu hayana uwezo wa kukulinda na mali "zetu"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom