Kuna watu wa ajabu..kama Taifa kama hili leo hii linamteua mtu aliyechoka akili mtu mzima kwenda kuiwakilisha nchi na watu mnasupport...hii aibu...Je ina maana katika taifa letu hili lenye takribani watu millioni 30 hakuna mtanzania msomi,mwenye kueleweka umri wa wastani ambaye angeteuliwa katika hii nafasi? Vigezo hasa vilivyotumika kumchagua shimbo ni vipi? mnaotetea huu uteuzi mnaweza kutueleza balozi hasa anatakiwa kuwa ni mtu mwenye wasifa gani? au ndio wenye nchi wanapasiana vilivyo vyao, maana CCM wanajichukulia wao kama ndio wenye nchi hii!!
Alaniwe JK!
Wanafanya nchi mali yao!
Katiba mpya ipunguze madaraka ya raisi.
Ndio hivyo kamchagua kule wana dili nyingi kutengeneza makaratasi ya kura ya kufoji,kutumia trilioni 12 walizojipatia kwa pamoja shimbo akiwa jeshini kuwekeza china,kuhakikisha wachina wanapewa nusu ya ardhi ya Tanzania,machimbo yote ya dhahabu nyanda za juu kusini na gesi ,lazima awe mtu wake wa maungoni atakayelinda maslahi ya wachina na kuficha siri atakuwa nanai zaidi ya shimbo bila kumng,oa kikwete miaka miwili na nusu iliyobaki hakutakuwa na kitakachobaki
Tutafika tu
isijekuwa kwa sababu anaitwa ABDULRAHMAN ndiyo sababu ya kumsakama. alikua mnadhimu mkuu wa majeshi. ana uzoefu wa kusoma katika nchi mbalimbali mambo ya kijeshi na diplomasia. ni mwana intelijensia. kwa ushawishi wa china ktk ulimwengu wa leo, shimbo ni chagua sahihi. mambo ya kukosoa kila jambo bila hoja yenye mantiki yamepitwa na wakati.
Ongea na mjesh yeyote muulize kuhusu madhira alowafanyia, na mabilion aliyoficha nje,hujui kama alitaka kufa kwa presha alipoambiwa kuwa akaunt zinaenda kuwa blocked. Mwamunyange alikuwa na wakat mgumu mno,fanya hiyo research fup badae utuletee feedback.
Hii kali. Juma tena? Kasheshe. Haina shida kwani haiharibu ile acronym ya JMKHapa nilipo niko na babu yangu mdogo! Ananisimulia hadidhi kua, kumbe hata hili jina la JAKAYA sio la huyu muheshimiwa! Jamaa jina lake halisi anaitwa JUMA! Kwakua kipindi kile ukisoma SEMINARI lazima uwe na jina la KIKIRSTO na mkae mkijua jamaa alisoma SEMINARI ikabidi jamaa aunde jina na ajiite JAKAYA! napia Babu huyu pia amepoteza kumbukumbu hajui hata jina KIKWETE lilitokana na nini!
Niko na huyu Babu yangu najaribu kuMPETIPETI japokua aendelee kunipa Dondoo za historia ya nchi hii!
...Rais Kikwete amemteua mstaafu A. Shimbo kuwa balozi wa Tanzania nchini China.
Source: TBC1 Habari
Hivi hii teuzi ina merit kweli?....hivi hata tukiongelea diplomatic experience. Is it worthy to have Shimbo in China?....
JK hana aibu hata kidogo. Sijui yuko je. Hivi alishampa MJ.Gen Lupogo cheo toka amtoe TACAIDS?
Hii ndio nchi yetu na huyu ndio Jk urais wake ni wake na familia yake unategemea amchague mtu ambaye hawezi kulinda maslahi ya familia yake thubutu!mtalalama sana usiku mtalala,ee
Mungu tuepushe na hii balaaa.
du hii kali aisee....kwani hizi kazi hawaangalii CV??