I think what people need to understand is that an ambassador is a personal representative of the president, so he can choose whomever he wants. Secondly, Shimbo before being army chief of staff had worked along side foreign in dealing with disputes in Burundi, DR Congo, Zimbabwe. And at the end of the day, people will never be happy until the president appoints of of their relatives (qualified or not). Anyhow, I believe Gen. Shimbo understands diplomacy and has been of great counsel not only to the presidency in foreign relations but to the ministry of foreign and international cooperation
as well.
Nashangaa watu wanashangaa; walitarajia Kikwete afanye nini au amlipe vipi jinsi Shimbo alivyombeba wakati wa Uchaguzi wa 2010? Kastaafu jeshini mlitaka arudi kulima? Watu wanashangaa kana kwamba alichokifanya ni 'unthinkable'. Kwani Philip Marmo baada ya kukataliwa na wananchi wa Mbulu Kikwete alimuacha akachunge ng'ombe? Kwani Adadi Rajabu alipotoka Upolisi aliachwa akafuge kuku?
This just adds to an endless litany of wonders and the bizzare way our Government is run. How can you appoint a RETIRED army officer, whose life and carrier is replete with dubious and repressive undertakings? This points to only one thing: the appointment is more of a personal and family favour..!! How many experienced and capable ambassadors and diplomats have been recalled home due to retirement? Is Shimbo any better off than these?Fellow Tanzanians, this is an EYE OPENER, on the detrimental effect of letting the Presidency have so much and so wide powers to make appointments. The Katiba for our Dear Tanganyika is coming, let us make sure that we lose not this opportunity to clip the wings of disastrous presidents such as this.Dah!!! Tumekwisha mpaka tuje kukomboka tutakuwa na vidoda mwili mzima.
Inavyosemekana huyo bwana ana tri.... sio bi....of money kwenye hizo acc zake za nje.
Nderingosha, hiyo habari umeipata wapi?
Shimbo hafai kabisa kuwa balozi yuko kwenye mitandao ya kimataifa kuwa na fedha zisizothibitika amewadhulumu wanajeshi waliopata vilema wengine kufa waliokwenda kusaidia nje ya nchi
isijekuwa kwa sababu anaitwa ABDULRAHMAN ndiyo sababu ya kumsakama. alikua mnadhimu mkuu wa majeshi. ana uzoefu wa kusoma katika nchi mbalimbali mambo ya kijeshi na diplomasia. ni mwana intelijensia. kwa ushawishi wa china ktk ulimwengu wa leo, shimbo ni chagua sahihi. mambo ya kukosoa kila jambo bila hoja yenye mantiki yamepitwa na wakati.
me mwenyewe nimeshangaa sana kale
kashotii na hela zote zile bado kanaajiriwa
haiwezekani.
Haaaaaa...!!!
Shimbo??? Kweli hii nchi imekosa muelekeo kabisa. China inahitaji balozi mwenye mtazamo na career ya biashara na/ uchumi/uwekezaji.
Sasa hii habari ya kuteua teua tu watu kwasababu za ushikaji ni dalili za wazi za udhaifu wa kiuongozi.
Hizi sera za kuwawezesha wastaafu na kuwaweka pembeni vijana ndio chanzo cha umasikini kwa tabaka kubwa la vijana huku hawa wastaafu wenye pensheni kubwa wakiendelea kutumbua tu.
Falsafa ya JK ni kuona hawa wazee washikaji zake wanafaidi maisha yao, maisha ya watoto wetu na maisha ya wajukuu wetu!
Hilo nalielewa ndugu yangu.<br />By ericmzee<br />
Inavyosemekana huyo bwana ana tri.... sio bi....of money kwenye hizo acc zake za nje.
<br />
Sawa ndugu; <b>TRI... = BI... x 1K</b><br />
<b><u>NB:</u></b> <b>1K = 1,000</b>
Humu kuna watu kila kifanywacho na mamlaka ya Rais lazima walalamike ptuuuu!!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
shimbo ni mchapakazi ataiwakilisha nchi vema.