Abdulrahman Shimbo ateuliwa na Rais Kikwete kuwa Balozi wa Tanzania nchini China!

Kuna watu wa ajabu..kama Taifa kama hili leo hii linamteua mtu aliyechoka akili mtu mzima kwenda kuiwakilisha nchi na watu mnasupport...hii aibu...Je ina maana katika taifa letu hili lenye takribani watu millioni 30 hakuna mtanzania msomi,mwenye kueleweka umri wa wastani ambaye angeteuliwa katika hii nafasi? Vigezo hasa vilivyotumika kumchagua shimbo ni vipi? mnaotetea huu uteuzi mnaweza kutueleza balozi hasa anatakiwa kuwa ni mtu mwenye wasifa gani? au ndio wenye nchi wanapasiana vilivyo vyao, maana CCM wanajichukulia wao kama ndio wenye nchi hii!!

ujitahidi uje uwe rais wetu uwe unateua vizuri.
 
Ii inadhiirisha ni jinsi gani viongozi wa juu wa vyombo vya usalama wanafanya kazi kwa maslai ya chama tawala wakiwa na mategemeo kama haya ya kulipwa fadhila baadae.....binafsi simlaumu kikwete bali nawalaumu wale waliomuweka pale alipo.
 
Alaniwe JK!

Wanafanya nchi mali yao!

Katiba mpya ipunguze madaraka ya raisi.

Acheni kuleta hoja nyepesi humu, mnajua kwamba China na Tanzania kwa sasa zimeanza mipango ya kistrategia kijeshi bali na mipango mingine ya uchumi. Kwa hiyo sioni tatizo Shimbo kwenda kwa sababu pia uteuzi wa Balozi nchi mwenyeji ni lazima pia Ifanye vetting na kwa hiyo, kama Shimbo ni mtuhumiwa aliyeficha fedha chafu China ingemkataa na ikumbukwe China ni ya pili kiuchumi duniani na inauwezo mkubwa wa kuchunguza.
 
Hii ndio nchi yetu na huyu ndio Jk urais wake ni wake na familia yake unategemea amchague mtu ambaye hawezi kulinda maslahi ya familia yake thubutu!mtalalama sana usiku mtalala,ee
Mungu tuepushe na hii balaaa.
 
I think what people need to understand is that an ambassador is a personal representative of the president, so he can choose whomever he wants. Secondly, Shimbo before being army chief of staff had worked along side foreign in dealing with disputes in Burundi, DR Congo, Zimbabwe. And at the end of the day, people will never be happy until the president appoints of of their relatives (qualified or not). Anyhow, I believe Gen. Shimbo understands diplomacy and has been of great counsel not only to the presidency in foreign relations but to the ministry of foreign and international cooperation
as well.
 
Mungu wanguuuuu eeeee! ''||Taanzaniaaah tanzaniaaaa ....Nakupenda kwa moyooo woteeeeee! Nchi yanguuuu Tanzaniaaa Jina lako ni tamu sanaaaaaah.....Nilalapooo nakuooota weweeeeee niamkapo ni heri mama weweeee ...tanzania tanzania jina lako ni tamu sanaaaaaaa......
Tanzania tanzania watu wanakutamaaaniiiiiiiii...........mali yako tanzaniaaaa .......wengi wanamezea mateeee!!!
Nilalapo nakuota weweeeeee......Niamkapoooooo..............................?
 
Ndio hivyo kamchagua kule wana dili nyingi kutengeneza makaratasi ya kura ya kufoji,kutumia trilioni 12 walizojipatia kwa pamoja shimbo akiwa jeshini kuwekeza china,kuhakikisha wachina wanapewa nusu ya ardhi ya Tanzania,machimbo yote ya dhahabu nyanda za juu kusini na gesi ,lazima awe mtu wake wa maungoni atakayelinda maslahi ya wachina na kuficha siri atakuwa nanai zaidi ya shimbo bila kumng,oa kikwete miaka miwili na nusu iliyobaki hakutakuwa na kitakachobaki

na kampeleka muislam kule....
 
Tutafika tu

Tutafika lkn kwa majeraha yasiyoweza tibika haraka. Wanajesh mpaka kesho wanamlilia alikula hela yao ya ration na hata wale walopelekwa Darfur, Vietnam.......kapiga sana hela za hao wajesh waloenda kulinda aman na hata yale magwanda mapya ya kichina kapiga sana hela huyo jamaa ni balaaa! Mungu atuongoze!
 
JK amemteua mwizi mwenzake ili waka gawane kile walicho iba wote.
Ndio nasema katiba ijayo tupige marufuku viongozi wastaafu kupewa vyeo vvingine baada tu ya kustaafu.
hapa mpango ni JK KUJENGA MTANDAO UTAKAO MLINDA SIKU AKITOKA MADARAKANI.
SHAME UPON YOU JK, RAIS HOVYO KULIKO WOTE TULIO WAHI KUMPATA HAPA TANZANIA, NAOMBA HUKO WATZ WAJIFUNZE KWA RAIS DHAIFU KAMA HUYU WASIJE TUKAMPATA TENA,
LOWASSA AIBU NA DHAMBI YA KUTULETEA KIKWETE KUWA RAIS JMT HAITA KUACHA MILELE SHAME UPON YOU.
 
isijekuwa kwa sababu anaitwa ABDULRAHMAN ndiyo sababu ya kumsakama. alikua mnadhimu mkuu wa majeshi. ana uzoefu wa kusoma katika nchi mbalimbali mambo ya kijeshi na diplomasia. ni mwana intelijensia. kwa ushawishi wa china ktk ulimwengu wa leo, shimbo ni chagua sahihi. mambo ya kukosoa kila jambo bila hoja yenye mantiki yamepitwa na wakati.

Ongea na mjesh yeyote muulize kuhusu madhira alowafanyia, na mabilion aliyoficha nje,hujui kama alitaka kufa kwa presha alipoambiwa kuwa akaunt zinaenda kuwa blocked. Mwamunyange alikuwa na wakat mgumu mno,fanya hiyo research fup badae utuletee feedback.
 
Ongea na mjesh yeyote muulize kuhusu madhira alowafanyia, na mabilion aliyoficha nje,hujui kama alitaka kufa kwa presha alipoambiwa kuwa akaunt zinaenda kuwa blocked. Mwamunyange alikuwa na wakat mgumu mno,fanya hiyo research fup badae utuletee feedback.

habari za kijiweni hizo
 
Hapa nilipo niko na babu yangu mdogo! Ananisimulia hadidhi kua, kumbe hata hili jina la JAKAYA sio la huyu muheshimiwa! Jamaa jina lake halisi anaitwa JUMA! Kwakua kipindi kile ukisoma SEMINARI lazima uwe na jina la KIKIRSTO na mkae mkijua jamaa alisoma SEMINARI ikabidi jamaa aunde jina na ajiite JAKAYA! napia Babu huyu pia amepoteza kumbukumbu hajui hata jina KIKWETE lilitokana na nini!

Niko na huyu Babu yangu najaribu kuMPETIPETI japokua aendelee kunipa Dondoo za historia ya nchi hii!
Hii kali. Juma tena? Kasheshe. Haina shida kwani haiharibu ile acronym ya JMK


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
...Rais Kikwete amemteua mstaafu A. Shimbo kuwa balozi wa Tanzania nchini China.

Source: TBC1 Habari

Hivi hii teuzi ina merit kweli?....hivi hata tukiongelea diplomatic experience. Is it worthy to have Shimbo in China?....

JK ni mdini na mpigaji wa kutupwa so shimbo kaenda china strategically
 
Hii ndio nchi yetu na huyu ndio Jk urais wake ni wake na familia yake unategemea amchague mtu ambaye hawezi kulinda maslahi ya familia yake thubutu!mtalalama sana usiku mtalala,ee
Mungu tuepushe na hii balaaa.

Mkuu hata Mungu katuchoka watanzania!

Kila uchaguzi mnachagua mijitu ile ile licha ya kuwatenda vibaya!
 
kaenda kulinda siri ya ile mikataba coz anaitikadi zote za kijeshi na nidhamu kwa mkuu wa kaya,
 
du hii kali aisee....kwani hizi kazi hawaangalii CV??

wanaangalia mkuu ila urafiki ndio unaangaliwa sana......hivyo kama cv yako imeshiba vizuri lkn sio rafiki wa familia we njoo tusubiri wote huku kitaani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom