Abdulrahman Shimbo ateuliwa na Rais Kikwete kuwa Balozi wa Tanzania nchini China!

Acha chuki zako ww yule anasifa zinazohitajika kwa nafasi aliyopewa na sehemu husika
Haya kijana wa buku 7, sasa hebu orodhesha hizo sifa za huyo fisadi wenu zilizopelekea apewe hiyo nafasi na sio kutoa povu tu hapa!
 
Duuh hii nchi ina vituko vingi mno, ukiacha usafirishaji wa twiga na uuaji wa tembo, nimeona kwenye picha moja akipanda mti wetu wa asili ughaibuni. Kumbe siku hizi huyo Mzee ameanza kung'oa mti yetu ya asili na kwenda kuipanda ughaibuni?
 
jizi hilo shimbo ndo limekuwa libalozi...nitahama hii nchi muda si mwingi,bora nikaishi syria au afghanstan kuliko ktk linchi hili...am tired now...aaaghhhhhhhhhhhhhh

Hata mi naona aibu sana kujitambulisha kama Mtanzania......bora akina Mzee Mwanakijiji wako ughaibuni wao naona wanatutupia madongo ya rejareja.....eti tukubali yaishe. We unadhan nini sasa ishatoka hiyo!
 
Sioni tatizo hapo.Rais ana Mamlaka ya kumteua Mtu yoyote anayeona anafaa kumwakilisha vema nje ya Nchi.Lazima ateue wale anaowajua na anaowaamini yeye na sio Mtu mwingine.

kwa ajili ya kumweka m2 ambaye atasaini vizuri mikataba ya kichina,kwani hakuna wa2 wengne awe yeye tu?kwanza kastafu,tunapiga kelele za ajira lakini ccm wanapeana na uzee wao,
 
Acheni kuleta hoja nyepesi humu, mnajua kwamba China na Tanzania kwa sasa zimeanza mipango ya kistrategia kijeshi bali na mipango mingine ya uchumi. Kwa hiyo sioni tatizo Shimbo kwenda kwa sababu pia uteuzi wa Balozi nchi mwenyeji ni lazima pia Ifanye vetting na kwa hiyo, kama Shimbo ni mtuhumiwa aliyeficha fedha chafu China ingemkataa na ikumbukwe China ni ya pili kiuchumi duniani na inauwezo mkubwa wa kuchunguza.

Umenikumbusha mzee "bonafide genuine" yuko wapi siku hiz?
 
Mi naona waendelee tu kujivua nguo kwa teuzi za ajabu km hizi,maana ndo wanatufumbua macho baadae tuwang'oe vizuri wakoloni wanyonyaji weusi in simple way
 
Ukombozi u karibu
Kwa kashfa zote za wizi wa trillion 12
bado anapewa bonus ya ubalozi.
tujilaumu wenyewe kwa kuchagua viongozi
Wasio wazalendo
 
Ivi JW na diplomasia wapi na wapi hawa jamaa wamekali Ubabe tuu.
Angekuwa mwanadiplomasia aisngetumia ubabe kutupigga biti kwenye uchaguzi!
Anyway ndo kadhia ya kumrundikia RAISI madaraka lundo akiamka tuu kateua mtu!
Au labda tunajiandaa na vita!
 
Kampa zawadi kwa kuisaidia CCM kwenye uchaguzi mkuu kwa kuwatishia wapinzani na raia
 
...Rais Kikwete amemteua mstaafu A. Shimbo kuwa balozi wa Tanzania nchini China.

Source: TBC1 Habari

Hivi hii teuzi ina merit kweli?....hivi hata tukiongelea diplomatic experience. Is it worthy to have Shimbo in China?....[/QUOTE]

It is not worthy to have him anywhere apart from his HOME (wherever it is)!!!!! Akale kiinua mgongo chake na kufurahia ustaafu wake huko kwao!!! Huu ubalozi sasa umekuwa kama kitengo cha kusaidia wastaafu na waliokosa ubunge!!!! Yaani kwa sasa ubalozi; ukuu wa wilaya na mkoa, unatolewa kama kadi ya CHRISTMAS.....Kama unajulikana kwa MKUU na AKAKUONEA HURUMA=Cheo umekipata!!!!
 
Wambongo me nawashaa mtu akilipa fadhila mnamind akitoa cheo km zawad mnamind. Hivi juzi mch: Msigwa aliposema you guys your tired mnamuona mkorofi haya sasa a.k.a na bado.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370606798693.jpg
    uploadfromtaptalk1370606798693.jpg
    17.6 KB · Views: 154
Back
Top Bottom