Kama babu na bibi haiusiani kwanini Uhamiaji wanataka vyeti vyao vya kuzaliwa?Ila inawezekana mimi uelewa wangu ni mdogo, Je kuwa raia wa nchi fulani ni lazima babu na bibi yako wawe raia wa nchi hiyo??? mfano nikizaliwa tu na baba mtanzania je sipaswi kuwa mtanzania????
Tu-assume tu kuwa hata kama mababu wa Nondo hawakuwa watanzania je inahusiana nn na Nondo mwenyewe???
namshauri asile hizo chips yai awaachie wanaume wa darAsante kaka agiza chipsi yai nitakulipia
Jamani, uhamiaji wanataka vyeti vya ukoo wote huo ndiyo utaratibu kwa wale wanaojiteka hao wote uliowataja hawahusiki, alete vyeti ili na wakusanya kodi nao wamhoji na mafao pia.

Wewe babu yako ana vyeti? Tukiacha mambo mengine yanayoonesha wewe kuwa ni mvivu wa kufikiri.Kwani yeye aliagizwa apeleke historia ya TANU au vyeti ?
Kihistoria wakazi wengi wa Tanzania tunatokea kwenye jamii zilizo nje ya Tanzania ya leo.
Acha ujinga basi. Kwamba wewe brain yako ni zero kabisa? Japo hata kuconnect visible dots ni shida?Nyambeya, HIVI KOCHA MAXIMO NI MTANZANIA KWA SABABU TU ALIFUNDISHA TAIFA STARS?
we muhogo vipi?Kwani yeye aliagizwa apeleke historia ya TANU au vyeti ?
Waulize wenye tabia hiyoKumbe mnafahamu. Sasa mbona mnapenda kuwabagua na kuwabughudhi wa Tanzania wenye asili ya Kihindi na Kiarabu na kuwaona kama wao hawana haki mana sikwao ni wahamiaji tu.
Ukizingatia kwamba sharing is caring..Imetulia hii Mkuu. Wabaguzi nyuso zimewashuka. Thanks for sharing.
Ukizingatia kwamba sharing is caring..