Abdul Nondo amewapiga "KO" maofisa Uhamiaji

Abdul Nondo amewapiga "KO" maofisa Uhamiaji

Sasa cheti anapewaga mjukuu au babu na bibi na kama babu na bibi ndio waliopewa kama kweli vilikuwa vinatolewa kipindi hiko je kuna sheria ya kwamba kabla hajafa avikabidhi kwa mjukuu???
Ni ujinga na wajinga tu ndio watakubaliana na ujinga wao
 
Vipi Viongozi wa ngazi ya juu kama Uhamiaji mkuu wao familia yao imesandia nini Taifa familia ya Nondo tumeshajua
 
Imetulia hii Mkuu. Wabaguzi nyuso zimewashuka. Thanks for sharing.
Hapa................
"Kwa kifupi mzee Taratibu alijitoa kwa hali na mali kuianzisha TANU bila hofu ya kushughulikiwa na serikali ya kikoloni, licha ya kwamba alikuwa mfanyakazi. Hatimaye alichaguliwa kuwa mjumbe wa sejretarieti na kamati ya siri ya TANU (kwa pendekezo la Oscar Kambona), na baadae alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa TANU kanda ya kati, Rais akiwa Alexander Kanyamara, Katibu Abdu Mohamed Mwamba, Mweka Hazina Omari Suleiman, huku Binti Maftah Karenga, Bakari Yenga, Maalim Khalfan, Idd Waziri na Said Suleiman wakichaguliwa wajumbe.".....
alafu leo wanaambiwa wenye asili ya majina hayo hawana akili.
 
Vipi Viongozi wa ngazi ya juu kama Uhamiaji mkuu wao familia yao imesandia nini Taifa familia ya Nondo tumeshajua
Tujui kwanza ya waje jamaa wa Chiiiiiito na Muramba. Hasa yule ambaye alipewa jina na mganga wa kienyeji.
 
Kweli maji hufuata mkondo.mtoto mdogo anawaendesha wenye mamlaka namna hii
 
Ila inawezekana mimi uelewa wangu ni mdogo, Je kuwa raia wa nchi fulani ni lazima babu na bibi yako wawe raia wa nchi hiyo??? mfano nikizaliwa tu na baba mtanzania je sipaswi kuwa mtanzania????

Tu-assume tu kuwa hata kama mababu wa Nondo hawakuwa watanzania je inahusiana nn na Nondo mwenyewe???
wewe unaufahamu mkubwa ila mafisiem yamezoea ubabaushaji "" so wanajifnya hawalijui hili ...ingepndeza zaidi kam wangeanza kudai vyeti vya Mwenye kiti wao ...maana kuna kasumba inasema kuwa sio mtz....na jinsi alivyo na roho mbya na shawishika kusadiki hilo ..maana hkuna mtz mwenye roho kama yake
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Comte unanitishia sio?
cdc, NAONA KAMA UMEBARIKIWA KUWA NA TALANTA YA KUTUKANA NA KUDHARAU WENZAKO NA MAONI YAO KWA SABABU TU UNATUMIA I D FAKE
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Back
Top Bottom