Abdul Nondo ajibu upotoshaji wa Kafulila dhidi ya hoja za Zitto Kabwe

Hii nondo ya Abdu Nondo imeshiba mno

Kwa hesabu za kujumlisha na kutoa za Kafulila anaweza kudai kuwa Makusanyo ya Miaka mitano ya serikali ya Mzee Mwinyi yanazidiwa na Makusanyo ya mwaka mmoja tu wa Magufuli bila kuzingatia idadi ya watu, mchango wa tekinohama katika makusanyo, miundo mbinu uliyowekewa na waliokutangulia na kuchukua pesa za halmashauri kama vile mabango, majengo, huduma mbalimbali na kuziingiza kwenye fuko la TRA kama alivuofanya Magufuli badala ya kuziacha huko kwenye halmashauri husika
Pia bila kusahau thamani ya shs dhidi ya dola ilikuwa kiasi gani enzi hizo?Kama sikosei kipindi cha Mkapa dola moja ilikuwa shs 250!
 
Mi ngumbaru nauliza tu,hivi makusanyo ya TRA ndiyo yanazungumzwa hapa?

Kama ni makusanyo ya TRA,je vyanzo vya makusanyo vinafanana katika serikali za awamu zote?

Vipi zile kelele kwamba TRA imechukua vyanzo vya makusanyo ya halmashauri na vyanzo hivi ndio vikafanya makusanyo kuonekana yameongezeka?

Au je makusanyo ya TRA yanajumuisha mapato mbali mbali kutoka halmashauri zetu?

Je ukizibadili kuwa dolar,thamani ya sasa na ile ya awamu ya tatu ni nani atakuwa amekusanya zaidi kwa wastani wa idadi ya watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo watanzania kama Kafulila hawaelewi hatari ya kutofikia lengo la makusanyo, yaani umefanya estimation ya tr 29 unakusanya 24 hii ni hatari kwa uchumi ambao 55% ni matumizi ya kawaida na 45% maendeleo, hii ina maana pesa ya matumizi iko pale pale ila ya maendeleo ndio utumika kama matumizi.
 
Mi ngumbaru nauliza tu,hivi makusanyo ya TRA ndiyo yanazungumzwa hapa?

Kama ni makusanyo ya TRA,je vyanzo vya makusanyo vinafanana katika serikali za awamu zote?

Vipi zile kelele kwamba TRA imechukua vyanzo vya makusanyo ya halmashauri na vyanzo hivi ndio vikafanya makusanyo kuonekana yameongezeka?

Au je makusanyo ya TRA yanajumuisha mapato mbali mbali kutoka halmashauri zetu?

Je ukizibadili kuwa dolar,thamani ya sasa na ile ya awamu ya tatu ni nani atakuwa amekusanya zaidi kwa wastani wa idadi ya watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi tusio hudhulia darasani tunan'gamuka,inakuwaje Bwana Tumbili asielewe?
 
Kafulila kwa ujumla hakujibu chochote kuhusiana na hoja za Zito zilizokuwa zimeegemea ripoti ya CAG. Kafulila alitumia muda mwingi kunukuu taarifa za forums badala ya report ya kina ya CAG.

Nilimwona mtu ambaye very uprofessional alipokataa kutumia asilimia, anataka kutumia absolute figures. Nikaona sasa JF imeingiliwa na watu wenye upeo mdogo. Katika vipimo vya uchumi, ni lazima utumie asilimia na siyo figures. Asilimia hubeba maana ile ile wakati wote lakini namba kama sh 10m, uhalisia wake unabadilika kila siku.

Majibu yale ya Kafulila, ilikuwa ni kujiaibisha. Kuna wakati ukikaa kimya watu hawawezi kujua huelewi nini. Utakapotamka, ndipo watu watajua unapungukiwa nini katika uelewa wako.
Nimeuliza hapo juu kuwa Je David Kafulila ana kisomo cha kuweza kuelewa CAG report au uchambuzi wa Zitto?

Mnamuonea kwa hizi nondo mnazomwaga za kutumia "absolute numbers" instead of "percentage"
 
Nondo stop jumping whenever Zitto is mentioned, inakufanya ionekane kama kibaraka au mlinzi asiye na busara. Kafulila amejibu hoja vizuri sana, japokuwa haimaanishi he is absolutely right and he is neither totally wrong

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona hieleweki? Ndio maana ya kiongozi kuwa na wasaidizi, sasa ulitaka zitto ajibu hoja za kafulila wakati kuna watu wana uwezo huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima ujitofautishe na rika la akina Zitto ambao wengi usomi wao tia maji tia maji.

Unapofanya budget variance analysis ya receipts za serikari tenganisha ‘revenue receipts’ na ‘capital receipts’.

For simplicity angalia vyanzo vya source zote mbili forecast zake na actual collection; hapo ndio unajifunza tatizo la variance ni nini kama ni income tax azijafikia malengo unaanza kuponda sera mbovu za ukusanyaji mapato au zilizosababisha biashara kufungwa hadi kutofikia target unaweza kwenda mbele zaidi kuonyesha ushahidi kutoka brela kuwa biashara zimefungwa, kama non tax revenue kama fees unaweza sema uzembe kwenye mizani wafanyakazi wapenda rushwa wanasababisha watu kukimbia na serikari aichukui hatua kuzuia incompetent au kuweka mabosi wasioweza simamia sector zao etc with each source from revenue receipts and cash receipt ya budget unaupitia na kuitolea sababu za adverse kutokana na actual results.

Lakini sasa watu mnafanya uchambuzi wa budget kwa logic ambazo sio za finance wala economy ni kuropoka tu wote watatu Zitto, Kafulila na sasa wewe dogo; hivi kwa akili zako mtu aliezaliwa 2012 sasa hivi atakuwa amefikia age ya kulipa kodi kweli mpaka awe na impact kwenye receipts za serikari au hata kwanza watu wote ni walipa kodi Tanzania; the entire piece is full of nonsense.
Duh! Shikamoo mkuu. Naishia hapo nisije ingia kwenye list hiyo nikawa namba 4. Nimekuelewa kimyakimya hivihivi mkuu.

Shikamoo tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nondo stop jumping whenever Zitto is mentioned, inakufanya ionekane kama kibaraka au mlinzi asiye na busara. Kafulila amejibu hoja vizuri sana, japokuwa haimaanishi he is absolutely right and he is neither totally wrong

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachekesha! Kafulila hapa kagongwa barabara, we unasema eti Nondo aache kujitokeza kila Zitto anapoguswa. Ebo? Hiyo ndiyo siasa ati. Zitto ni kiongozi mkuu, Nondo ni dogo ambaye naye ndio anajijenga. Ni wajibu wake kumlinda bosi wake ati
 
Back
Top Bottom