Abdul Kambaya: Rais Samia na Emanuel Nchimbi wanaleta Tanzania yenye kasi ya maendeleo

Abdul Kambaya: Rais Samia na Emanuel Nchimbi wanaleta Tanzania yenye kasi ya maendeleo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
3,119
Reaction score
1,428
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ➕ Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.



 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.

Upumbavu mtupu wameshindwa kufanya hayo miaka Yao 30 ya utawala ndio waje wafanye ndani ya miaka 5 !!?? Hiyo Danganya toto tu Kwa kuwa ni mwaka wa uchaguzi...

Nchi hii siku wananchi wakianza kuamka ndio maendeleo yataanza kupatikana.
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ➕ Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.

Chawa chawa chawa chawa ad infinitum na walaaaniwe waregeee washindweee na kupotea
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ➕ Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.

Huyu jamaa kaivuruga cuf, kaenda Chadema. Hivi sasa ccm, halafu Akina G55 wanataka watutumie watz kama ngazi ya kutafuta maslahi yao, wafukuzwe tu
 
Upumbavu mtupu wameshindwa kufanya hayo miaka Yao 30 ya utawala ndio waje wafanye ndani ya miaka 5 !!?? Hiyo Danganya toto tu Kwa kuwa ni mwaka wa uchaguzi...

Nchi hii siku wananchi wakianza kuamka ndio maendeleo yataanza kupatikana.
Jinga sana, huyu ni chawa mpuuzi sana!
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ➕ Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.

Du nilikuwa nimepigwa ban muda siyo mrefu nashangaa nimerudi nawashukuru adriz FaizaFoxy Mufti kuku The Infinity na Malaria 2 najua lazima wao ndiyo wamenipigania kwa JF hili niondolewe BAN maana walinitaka nishuke ilimu kuhusu hizi DINI ZAO ZENYE UTATA HIVYO NA TOA AHADI KUWA NITAKUJA KULETA UZI WENYE FAFANUZI KAMILI.KUUSU HUU UPOTOVU WA UKRISTO NA UISLAMU
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya akiwa katika ziara na Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa watu wanapofanya maamuzi ya kukiunga Mkono CCM hawaangalii ukubwa wa sauti isipokuwa wanaangalia hoja ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ➕ Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi Tanzania yenye kasi zaidi ya maendeleo.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdul Kambaya amewataka Watanzania kutofikiria kujiunga na vyama vingine hapa nchini tofauti na CCM kwani ndicho chama pekee chenye uimara wa kuongoza nchi.

“Uongozi huwa ni hekima na busara, sioni uwezo wa kisheria wala kinguvu wa kusimamisha uchaguzi mkuu wa mwaka huu,” - Abdul Kambaya, Kada wa CCM akizungumza katika mahojiano baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi wilayani Nyasa, Mkoa wa Ruvuma.

Tuondolee matapeli hapa bwana. Hulioni hilo li Nchinbwi linavyonuka rushwa na uroho wa madaraka.
 
Du nilikuwa nimepigwa ban muda siyo mrefu nashangaa nimerudi nawashukuru adriz FaizaFoxy Mufti kuku The Infinity na Malaria 2 najua lazima wao ndiyo wamenipigania kwa JF hili niondolewe BAN maana walinitaka nishuke ilimu kuhusu hizi DINI ZAO ZENYE UTATA HIVYO NA TOA AHADI KUWA NITAKUJA KULETA UZI WENYE FAFANUZI KAMILI.KUUSU HUU UPOTOVU WA UKRISTO NA UISLAMU
Ilipaswa ukae zaidi kifungoni kama Maghayo The Mongolian Savage , akili za kubeti haziwezi kuwa na madini
 

Attachments

  • Screenshot_20250402-122153_SportyBet.jpg
    Screenshot_20250402-122153_SportyBet.jpg
    145 KB · Views: 19
Back
Top Bottom