figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama wa Chama cha Wananchi CUF, Abdul Kambaya, na wanachama 384 kutangaza kujiunga na Chadema. Sasa wawasha moto.
Tarehe 23 Februari 2023, Kambaya na wenzake walitangaza kujivua uanachama CUF kwa madai kuwa chama hicho kimepoteza mwelekeo na kumtuhumu Mwenyekiti Profesa Ibrahimu Lipumba kukiuka katiba ya chama hicho.
Sasa wameongeza nguvu chadema na wameshaanza kazi rasmi ya kubadilisha fikra hasi. Tatuzo ni mifumo ya Nchi. Na mfumo wenyewe ni katiba iliyopo. Anataka uwepo wa katiba mpya.
Hapa Kambaya akiwa anakiwasha Mabanda ya Papa Kata ya Msambweni na Ngamiani Kati na Kata ya Mwazange Jijini Tanga chini ya Mwavuli wa CHADEMA.
Tarehe 23 Februari 2023, Kambaya na wenzake walitangaza kujivua uanachama CUF kwa madai kuwa chama hicho kimepoteza mwelekeo na kumtuhumu Mwenyekiti Profesa Ibrahimu Lipumba kukiuka katiba ya chama hicho.
Sasa wameongeza nguvu chadema na wameshaanza kazi rasmi ya kubadilisha fikra hasi. Tatuzo ni mifumo ya Nchi. Na mfumo wenyewe ni katiba iliyopo. Anataka uwepo wa katiba mpya.
Hapa Kambaya akiwa anakiwasha Mabanda ya Papa Kata ya Msambweni na Ngamiani Kati na Kata ya Mwazange Jijini Tanga chini ya Mwavuli wa CHADEMA.