johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,640
- 142,991
Ikumbukwe kuwa mh Kambaya wa Chadema ndio kapewa jukumu maalumu la kukiimarisha Chama kanda maalumu ya Mwambao wa Bahari ya Hindi
Sasa mh Kambaya ukiisoma Ripoti ya CAG utagundua Mawaziri kutoka Tanga, Pemba, Unguja, Pwani na Lindi ndio wamemulikwa zaidi na CAG kwa Ufisadi mkubwa ulifanyika Kwenye Taasisi wanazosimamia
Tafadhali mh Kambaya Washa moto na tuuone kweli unawaka kipetroli siyo kiasali
Sabato Njema!
Sasa mh Kambaya ukiisoma Ripoti ya CAG utagundua Mawaziri kutoka Tanga, Pemba, Unguja, Pwani na Lindi ndio wamemulikwa zaidi na CAG kwa Ufisadi mkubwa ulifanyika Kwenye Taasisi wanazosimamia
Tafadhali mh Kambaya Washa moto na tuuone kweli unawaka kipetroli siyo kiasali
Sabato Njema!