Abdul Kambaya ajiondoa CHADEMA

Abdul Kambaya ajiondoa CHADEMA

Umekuja Leo unaanza kumshambulia mwenyekiti chama. Huyo wameshtukia ni tapeli.
 
Aende CCM kelele nyingi wakati ni liability. Yeye aseme amefika chadema amekuta watu hawana time naye.
 
Asijaribu kuja CCM labda akidhania atapata uongozi, CCM vigeugeu hatuwataki, ila akija kama mwanachama wa kawaida karibu.

Na nyie CHADEMA mkome mnapokea takataka za kisiasa sana.
CHADEMA walimkubalia lakini hawakuwa na time naye ndio maana kaondoka. Alitaka waanze kumpapatikia, Sasa kakuta watu wapo busy ndio kaamua kuondoka.
 
Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.

Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.

1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.
Mmeshindwa miaka 60 ndo muweze leo.acha kujifariji.zama zakudanganya watu zilishaisha.
 
CHADEMA ni chama cha mtu na familia yake....

Hahojiki..

Kambaya njoo CCM....tukutane huku Mandi nikupe kadi....
Chama cha mtu na familia yake alafu mnakiogopa hivyo?kuweka tu tume huru ya uchaguzi hamuwezi.alafu unakuja kubwabwa hapa.
 
Kweli kambaya aende CCM apewe ukatibu mkuu, maana Katibu mkuu wa Sasa hivi Kama hayupo kabisa.
Mbowe: Kambaya ataongoza kampeni ya kuimarisha Chama Kanda ya Mwambao wa Bahari ya Hindi Tanga hadi Mtwara!
 
Udikteta upi?. Mtu Hana hata miezi mitatu kwenye chama kelele nyingi. Aende CCM kwa mafisadi.
Tatizo kuna watu wanafikiri siasa nikupiga tu domo ela iingie.wanataka wakijiunga kwenye vyama wapige tu domo badala yakufanya kazi.Wengine wanataka kua chawa.wakati ni ujinga mtupu kuendekeza maisha ya aina hiyo.
 
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho

Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---

View attachment 2608304
Abdul Kambaya
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.

"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.

“HILi sio jambo jipya, kujiunga katika chama na kisha kuondoka. Kama Lowassa na Sumaye walijiunga na Chadema na wakatoka, siwezi sema kuna changamoto hasi zilizofanya kuchukua hatua hii ya kutangaza kujitoa Chadema. Sijitoi Chadema kwenda chama kingine cha siasa,” Abdul Kambaya.


Source Mwanahalisi Digital
S
Aanzishe chama cha kidini cha kisiasa
 
Chama cha mtu na familia yake alafu mnakiogopa hivyo?kuweka tu tume huru ya uchaguzi hamuwezi.alafu unakuja kubwabwa hapa.
Waweke kwanza ndani ya CHADEMA kusikokuwa na usawa wa kisiasa.....Sultan Mbowe!
 
CHADEMA ni vema iwe makini inaposajili wanachama wapya.

Kwa mfano Mh. Kambaya kaja na watu wake 600 sasa hao wataitii CHADEMA au Mh. Kambaya?

Pili, unasajili wanachama wapya na kuwapa Vyeo wakati akina Yericko wanasota tu kwenye mwambao wa Bahari ya Hindi unadhani watawafurahia?

Halafu huu utaratibu wa kusajili vikundi umeanza lini na kwa sheria gani?

Mungu awabariki CHADEMA!
 
Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.

Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.

1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.
Kuihama CCM ! Nehi!
 
Back
Top Bottom