Udikteta upi?. Mtu Hana hata miezi mitatu kwenye chama kelele nyingi. Aende CCM kwa mafisadi.Wamewaachia udikteta wenu
CHADEMA walimkubalia lakini hawakuwa na time naye ndio maana kaondoka. Alitaka waanze kumpapatikia, Sasa kakuta watu wapo busy ndio kaamua kuondoka.Asijaribu kuja CCM labda akidhania atapata uongozi, CCM vigeugeu hatuwataki, ila akija kama mwanachama wa kawaida karibu.
Na nyie CHADEMA mkome mnapokea takataka za kisiasa sana.
Kweli aende CCM ndio Kuna mfaa.CHADEMA ni chama cha mtu na familia yake....
Hahojiki..
Kambaya njoo CCM....tukutane huku Mandi nikupe kadi....
Kweli kambaya aende CCM apewe ukatibu mkuu, maana Katibu mkuu wa Sasa hivi Kama hayupo kabisa.Huko Saccos?!!!!
Amepewa tu mropokaji Lema itakuwa mwenye akili Kambaya?!!
Kweli kambaya aende CCM apewe ukatibu mkuu, maana Katibu mkuu wa Sasa hivi Kama hayupo kabisa.


Mmeshindwa miaka 60 ndo muweze leo.acha kujifariji.zama zakudanganya watu zilishaisha.Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.
Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.
1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.
Chama cha mtu na familia yake alafu mnakiogopa hivyo?kuweka tu tume huru ya uchaguzi hamuwezi.alafu unakuja kubwabwa hapa.CHADEMA ni chama cha mtu na familia yake....
Hahojiki..
Kambaya njoo CCM....tukutane huku Mandi nikupe kadi....
Mbowe: Kambaya ataongoza kampeni ya kuimarisha Chama Kanda ya Mwambao wa Bahari ya Hindi Tanga hadi Mtwara!Kweli kambaya aende CCM apewe ukatibu mkuu, maana Katibu mkuu wa Sasa hivi Kama hayupo kabisa.
Tatizo kuna watu wanafikiri siasa nikupiga tu domo ela iingie.wanataka wakijiunga kwenye vyama wapige tu domo badala yakufanya kazi.Wengine wanataka kua chawa.wakati ni ujinga mtupu kuendekeza maisha ya aina hiyo.Udikteta upi?. Mtu Hana hata miezi mitatu kwenye chama kelele nyingi. Aende CCM kwa mafisadi.
SMwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho
Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.
"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.
“HILi sio jambo jipya, kujiunga katika chama na kisha kuondoka. Kama Lowassa na Sumaye walijiunga na Chadema na wakatoka, siwezi sema kuna changamoto hasi zilizofanya kuchukua hatua hii ya kutangaza kujitoa Chadema. Sijitoi Chadema kwenda chama kingine cha siasa,” Abdul Kambaya.
Source Mwanahalisi Digital
Waweke kwanza ndani ya CHADEMA kusikokuwa na usawa wa kisiasa.....Sultan Mbowe!Chama cha mtu na familia yake alafu mnakiogopa hivyo?kuweka tu tume huru ya uchaguzi hamuwezi.alafu unakuja kubwabwa hapa.
Aliingia Chaka la Wagalatia!S
Aanzishe chama cha kidini cha kisiasa
Njaa kitu kibayaAliingia Chaka la Wagalatia!
Kuihama CCM ! Nehi!Siku chache tu Bw.Kambaya na wenzake walikimbia CUF na kwenda Chadema wakidai ndio chama chenye uhakika wa kushika dola, akapita mikoa yote ya pwani kuisema vby serikali ya CCM, wengine tunaojua siasa tukawa tunamcheka tu, Leo amerudi tena kwa waandishi wa habari na kutangaza kuihama CCM.
Ujumbe wangu kwa Kambaya ni huu.
1. Nchi hii vyama vya siasa ukiondoa CCM ni biashara
2.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.
3.Huwezi kuwa kambale mbele ya Sugu, Lema, Msigwa, Lissu, Heche na Wenje, hao akili zao wote ni ubunge tu ili maisha yaende mbele.Kutukana kote serikali wanataka kwenda bungeni kutanua.
4.Kambaya achana na siasa, mwacheni mama apige kazi na atimize malengo yake.
5.Wenzako akina Katani waliyaona haya wakarudi CCM mapema, sasa wanapambana wakiwa ndani ya chama.
6.Utahangaika vyama vyote lkn unapoteza muda wako.
7.Kama chama cha siasa kilichokuwa cha ukweli na kilibeba matumaini ya watu kilikuwa ni NCCR Mageuzi ya marehemu prof Abdulrhaman Babu.Kiko wap sasa hivi.
8.Narudia tena, hakuna chama wala mwanasiasa wa upinzani mwenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko hapa nchini zaidi ya CCM.Hakuna, hakuna, hakuna.