Kumbe ni wafuasi wa upinde !!!!!Labda wamemaliza tofauti zao na propesa,si unajua uhawara hauna talaka
Hatukuwahi kumkubali Kambaya kamwe.Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho
Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru...
Avumilie udikteta?Aondoke tu chadema inataka watu wavumilivu
Siasa za kuhamahama na kutoa kashfa ni za kishamba hizi zimeshapitwa na wakati.Aliyekuwa kiongozi maarufu wa CUF na kisha mwezi wa tatu kujivua nyasifa zote ndani ya chama hicho na kukimbilia Chadema bwana Maulidi Kambaya...
Inauma sanaWatu wanaiba ruzuku kama fisi.mstaarabu huwezi kaa chadema..labda awe mnafiki