Abdul Kambaya ajiondoa CHADEMA

Abdul Kambaya ajiondoa CHADEMA

Ngulije?? Amefanya yepi na kwamiaka mingapi na kwaufanisi upi mpaka kuwa nguli? Watu wanaendekezaga ujinga!!
 
Elimu yake ni darasa la saba, alipewa computer akashindwa kuitumia, bora arudi kwenye kazi yake ya udalali wa mahindi soko la Manzese.
 
.CCM ndio mkombozi wa kweli wa watanzania, hatukatai kina mapungufu yake lakini yanatatulika.

Mapungufu yenu huko ccm yatapungua siku Kikwete atakapoacha siasa za chama chenu!! As long as bado anakiongoza hata kama kwa REMOTE fitina, unafiki na mizengwe chamani havitakwisha.
 
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho

Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---

View attachment 2608304
Abdul Kambaya
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.

"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.

“HILi sio jambo jipya, kujiunga katika chama na kisha kuondoka. Kama Lowassa na Sumaye walijiunga na Chadema na wakatoka, siwezi sema kuna changamoto hasi zilizofanya kuchukua hatua hii ya kutangaza kujitoa Chadema. Sijitoi Chadema kwenda chama kingine cha siasa,” Abdul Kambaya.


Source Mwanahalisi Digital
Sijawahi kusikia mrepublican akihamia democrat au mdemocrat akihamia republican huko USA 🇺🇸. Na pia 🇬🇧 UK sijasikia na huko India ndio kabisaa !! Sijui ni kwanini !
 
Aliyekuwa Mratibu wa Chadema Kanda ya Mwambao wa Bahari ya Hindi Tanga hadi Mtwara mh Kambaya amesema japo ameondoka Chadema bado ana Imani kubwa na Chama hicho

Kambaya amesema CUF wamempigia simu arudi lakini Yeye anaiamini sana Chadema na panapo Uzima atakipigia kura Uchaguzi Ujao

Jumaa kareem!
 
Mwanasiasa nguli mh Kambaya aliyejiunga Chadema hivi karibuni amejivua Uanachama na kuachana kabisa na chama hicho

Mh Kambaya anesema kwa sasa anabaki kuwa raia Huru.
---

View attachment 2608304
Abdul Kambaya
ABDUL Kambaya ametangaza kujiondoa rasmi kwenye Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Ametangaza uamuzi huo hii leo tarehe 3 Mei 2023, jijini Dar es Salaam.

"Ninaondoka Chadema na sitojiunga na chama chochote. Kwa sasa mimi ni mwanasiasa huru,” ameeleza.

“HILi sio jambo jipya, kujiunga katika chama na kisha kuondoka. Kama Lowassa na Sumaye walijiunga na Chadema na wakatoka, siwezi sema kuna changamoto hasi zilizofanya kuchukua hatua hii ya kutangaza kujitoa Chadema. Sijitoi Chadema kwenda chama kingine cha siasa,” Abdul Kambaya.


Source Mwanahalisi Digital
##
 
Back
Top Bottom