odinyo
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 429
- 109
Taarifa zisizo rasmi zimeeleza kuwa yule mtu aliyempigia simu dr. Ulimboka kuja wafanye mazungumzo, na hatimaye kutekwa ameokenana ubalozi wa Afrika kusini akiomba VISA ya kwenda Afrika kusini (pritoria).
Ziko hisia kuwa anamfuatilia Ulimboka alikoenda kutibiwa ili aweze kukamilisha kazi aliyopewa na Ikulu
My take: Ulinzi unapaswa kuimarishwa huko ili hawa wanyama toka Chama Cha Mabwepande (CCM) wasifanikiwa kutoa uhai wake.
Ziko taarifa kuwa dr. Ulimboka ameombewa ulinzi ( https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ional-ubalozi-wa-tz-afrika-kusini-wahaha.html ) kama hili lingefanikiwa, ingekuwa bora sana.
Quality
nisaidie CCM wanaingia vp?
tupe details za huyu abdul?