Kama CV yenyewe ndio hii ilikuwaje mkampa kura kuwa Mwenyekiti wenu wa Wazazi Taifa? Tatizo lenu nyie ccm ni unafiki,chuki,fitna na siasa za makundi. Mko tayari hata kuchagua gogo likae pale kuliko mtu wa kundi tofauti hata kama ana sifa na uwezo.Abdallah Majura Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!Alikuwa kiongozi wa FAT (siku hizi TFF)wakati wa utawala wa Ndolanga na walipo badili katiba kuwa kiongozi wa TFF at least awe Form IV akaondoka!
Namjua jamaa huyu toka anauza mitumba na baadae bucha pale stand Musoma;kwake siasa ni kazi maana ndiyo mtaji wake!Bulembo atafanya nn CCM ikiondoka madarakani?
Du, kumbe jamaa hata elimu ya Form iv hana!!!
Sasa hapo tusimlaumu, ametoa hoja inayolingana na uelewa wake mdogo.
- Sasa utalinganisha Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na diwani? hivi nyie mna nini jamani!, wewe unaweza kumlinganisha Mjumbe wa CC na diwani?
Le Mutuz
Kumbe ndivyo mlivyo CCM, mnafuata anachosimamia mtu aliyewateua hata kama ni kuliangamiza taifa. Poleni sana na haya inabidi watanzania tuyaone kwani sisi ndio wapiga kura. Kesho utashangaa mtu kama Bulembo ambaye wakati fulani huwa namuheshimu sanaatagombea na kuchaguliwa licha ya mawazo yake mfu kama haya ya kutegemea kijana anayejitambua kama Mbatia kufuata msimamo wa waliomteua hata kama ni kinyume na kile anachokiamini.Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.