Abaki mtupu kupinga ukaguzi wa airport

MWANA WA UFALME

JF-Expert Member
Sep 10, 2010
578
144
strippa.jpg


Huyu bwana baada yakuona wakaguzi wa airport wanamfanyia harassment aliamua kuvua moja kwa moja kupinga kitendo hicho. Hii ilitokea portland international airport.

Source: Published: 10-14 19.04.12, changed 19.04.12-2: 29 (SCIENCE)
 
strippa.jpg


Huyu bwana baada yakuona wakaguzi wa airport wanamfanyia harassment aliamua kuvua moja kwa moja kupinga kitendo hicho. Hii ilitokea portland international airport.

Source: Published: 10-14 19.04.12, changed 19.04.12-2: 29 (SCIENCE)

Kaaazi kweli kweli, naona wajeda wote wamegeuka wanaogopa kumuangalia!??
 
Hao jamaa wamegeuka kumuangalia lakini hata Polisi wenyewe walishindwa la kumfanya. Wanasema hawakuweza kumshika kwa kosa la kuvua, maana alikuwa anatetea haki yake
 
Safi sana,kama wanawasi wasi naye wamkague sasa!Tena angeinama kabisa ili wampekue vizuri!!Kuna wakati hawa jamaa wa viwanja vya ndege wanakera sana!!
 
Back
Top Bottom