Aaah,wamekata

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Daah,nimemtumia mama mwenyenyumba kodi wamekata
nimetumiwa mchango wangu wa harusi wamekataaaaaa
 
Mi huwa nachekaga yule mwanafunzi alietumiwa ada. Alafu wakakataa.
 
Tumelipia luku tucheki fainali wamekata, TANESCOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Kazaliwa mtoto wa kiume ana ngozi ndeefu cha ajabu leo ile ngozi wamekata
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom