A ya Physics/Math haina Umuhimu kwa "Kingereza hakipo"

Myahudi Jr II

JF-Expert Member
Jan 7, 2016
6,703
8,481
Wasalaamuu....

Dunia inaenda kasi sana, Makosa yalifanyika kufanya "KIIGNILISHI" kuwa lugha ya dunia, Hii inaumiza sana watu ya dunia ya 3 hususani Wananchi wa Kizimkazi.

Juzi niliona "Twita" madaktari wamechachama wanadai pesa ni ndogo wanayolipwa "it might be true" ila nikajiuliza "Dakitari" unalalamika, moja kwa moja nikajua Lugha ndio mchawi (Kataa kubali) huna kimbilio lingine zaidi ya Tamisemi. kuna taasisi nyingi sana nje na ndani ya nchi zinazoajiri hawa watu kila kukicha ila "fluency in English is must" "Bunch of Tanzanian arent fluent but we just splice English words to make sentences" kwanini tusilaumu Serikali

Dunia ya sasa English ni kila kitu (Kataa/Kubali). China anajisufu ana uchumi mkubwa ila wamezagaa
"online" kujifunza English, wanajua bila english hawaendi popote, India ndio usiseme, Russia etc etc, Ni ngumu sana "m-UK" or (Native english speaker) ukamkuta anajifunza Kichina/ki-rusi/ki-Arabu etc wanafanya for"leisure"

Vijana tuliopo hakikisha watoto wenu/wetu wanajua lugha ya mkoloni vema, Hawatalaumu serikali kwasababu watakua na "options" nyingi, Jiulize kuna watu mmesoma nao vipanga ila mnalipwa "same scale of salaries" ila hana ujanja wa kutoka hapo kwakua kila analogusa "Ngeli inatakiwa" "HANA"

UDSM ya 37, Muhimbili ya 89, SUA na UDOM za 120+ tatizo Lugha kuandika research inatakiwa uwe na uwanda mpana wa lugha, "HATUNA" tunaamini vipanga ndio wapo mavyuoni ila vyo vipo mkiani "LUGHA TATIZO" sio kwamba hawana cha kuandika ,wanacho ila hakieleweki kwa "Native speaker"

KABLA HUJAMLAZIMISHA MWANAO KUPATA "A,A,A,A" hakikisha anajua Lugha ya mkoloni la sivyo ataishia tamisemi aanze kutukana serikali.
 
Wasalaamuu....

Dunia inaenda kasi sana, Makosa yalifanyika kufanya "KIIGNILISHI" kuwa lugha ya dunia, Hii inaumiza sana watu ya dunia ya 3 hususani Wananchi wa Kizimkazi.

Juzi niliona "Twita" madaktari wamechachama wanadai pesa ni ndogo wanayolipwa "it might be true" ila nikajiuliza "Dakitari" unalalamika, moja kwa moja nikajua Lugha ndio mchawi (Kataa kubali) huna kimbilio lingine zaidi ya Tamisemi. kuna taasisi nyingi sana nje na ndani ya nchi zinazoajiri hawa watu kila kukicha ila "fluency in English is must" "Bunch of Tanzanian arent fluent but we just splice English words to make sentences" kwanini tusilaumu Serikali

Dunia ya sasa English ni kila kitu (Kataa/Kubali). China anajisufu ana uchumi mkubwa ila wamezagaa
"online" kujifunza English, wanajua bila english hawaendi popote, India ndio usiseme, Russia etc etc, Ni ngumu sana "m-UK" or (Native english speaker) ukamkuta anajifunza Kichina/ki-rusi/ki-Arabu etc wanafanya for"leisure"

Vijana tuliopo hakikisha watoto wenu/wetu wanajua lugha ya mkoloni vema, Hawatalaumu serikali kwasababu watakua na "options" nyingi, Jiulize kuna watu mmesoma nao vipanga ila mnalipwa "same scale of salaries" ila hana ujanja wa kutoka hapo kwakua kila analogusa "Ngeli inatakiwa" "HANA"

UDSM ya 37, Muhimbili ya 89, SUA na UDOM za 120+ tatizo Lugha kuandika research inatakiwa uwe na uwanda mpana wa lugha, "HATUNA" tunaamini vipanga ndio wapo mavyuoni ila vyo vipo mkiani "LUGHA TATIZO" sio kwamba hawana cha kuandika ,wanacho ila hakieleweki kwa "Native speaker"

KABLA HUJAMLAZIMISHA MWANAO KUPATA "A,A,A,A" hakikisha anajua Lugha ya mkoloni la sivyo ataishia tamisemi aanze kutukana serikali.

Sasa mbona madaktari kadha wa kadha digrii ya pili wamesoma ng'ambo mkuu?
 
Sasa mbona madaktari kadha wa kadha digrii ya pili wamesoma ng'ambo mkuu?
Kusoma kwa lugha sio ishu, kwani hukuona vipanga wa UDSM walivyogalagazwa na kijana mdogo wa mika 24 kwenye kutetea makinikia?

Sio kwamba hawajui, LA! ila hawana lugha wana mfululizo wa A ambao hauna lugha, ila ukiwarudisha huku wana connect english words wanatema cheche
 
Ni kweli kabisa!Wauza vitabu Wana chat Yao Amazon ya kubadilishana mawazo na Magwiji nilitoka jasho Hapo,nafuatwa fb na kwenye sababu ya Kitabu changu Cha Kiingereza.Sina hamu ila nilisimama na kuungaunga the the the,so so Wanaija walikuwa wananicheka balaa ila wazungu Wana encourage sana.Nilimchukia sana aliyetulazimisha kutumia Kiswahii kama Lugha ya Taifa Bora ingekuwa second language.Kuna wakati unajiona upo kwenye mateso kisa kimalkia kinakutoa jasho.Tena na HKL yangu.Wito wangu Serikali kwenye Mtaala kiingereza kifundishwe kama Lugha na sio somo kama ilivyo Sasa.
 
Ni kweli kabisa!Wauza vitabu Wana chat Yao Amazon ya kubadilishana mawazo na Magwiji nilitoka jasho Hapo,nafuatwa fb na kwenye sababu ya Kitabu changu Cha Kiingereza.Sina hamu ila nilisimama na kuungaunga the the the,so so Wanaija walikuwa wananicheka balaa ila wazungu Wana encourage sana.Nilimchukia sana aliyetulazimisha kutumia Kiswahii kama Lugha ya Taifa Bora ingekuwa second language.Kuna wakati unajiona upo kwenye mateso kisa kimalkia kinakutoa jasho.Tena na HKL yangu.Wito wangu Serikali kwenye Mtaala kiingereza kifundishwe kama Lugha na sio somo kama ilivyo Sasa.
Wengi sana wapo kama wewe hasira zinaishia kwa serikali, Nigerians wao lugha sio tatizo kwao ndio kinawabeba sana sisi tunaanza na mitaala ya kiswaahil
 
Wasalaamuu....

Dunia inaenda kasi sana, Makosa yalifanyika kufanya "KIIGNILISHI" kuwa lugha ya dunia, Hii inaumiza sana watu ya dunia ya 3 hususani Wananchi wa Kizimkazi.

Juzi niliona "Twita" madaktari wamechachama wanadai pesa ni ndogo wanayolipwa "it might be true" ila nikajiuliza "Dakitari" unalalamika, moja kwa moja nikajua Lugha ndio mchawi (Kataa kubali) huna kimbilio lingine zaidi ya Tamisemi. kuna taasisi nyingi sana nje na ndani ya nchi zinazoajiri hawa watu kila kukicha ila "fluency in English is must" "Bunch of Tanzanian arent fluent but we just splice English words to make sentences" kwanini tusilaumu Serikali

Dunia ya sasa English ni kila kitu (Kataa/Kubali). China anajisufu ana uchumi mkubwa ila wamezagaa
"online" kujifunza English, wanajua bila english hawaendi popote, India ndio usiseme, Russia etc etc, Ni ngumu sana "m-UK" or (Native english speaker) ukamkuta anajifunza Kichina/ki-rusi/ki-Arabu etc wanafanya for"leisure"

Vijana tuliopo hakikisha watoto wenu/wetu wanajua lugha ya mkoloni vema, Hawatalaumu serikali kwasababu watakua na "options" nyingi, Jiulize kuna watu mmesoma nao vipanga ila mnalipwa "same scale of salaries" ila hana ujanja wa kutoka hapo kwakua kila analogusa "Ngeli inatakiwa" "HANA"

UDSM ya 37, Muhimbili ya 89, SUA na UDOM za 120+ tatizo Lugha kuandika research inatakiwa uwe na uwanda mpana wa lugha, "HATUNA" tunaamini vipanga ndio wapo mavyuoni ila vyo vipo mkiani "LUGHA TATIZO" sio kwamba hawana cha kuandika ,wanacho ila hakieleweki kwa "Native speaker"

KABLA HUJAMLAZIMISHA MWANAO KUPATA "A,A,A,A" hakikisha anajua Lugha ya mkoloni la sivyo ataishia tamisemi aanze kutukana serikali.
Ulivyong'ang'ania Kiingereza ni Sawa na kutumia Myahudi Jr II , wakati uhalisia unaweza kuwa wewe Mmasai , Mmakonde au hata Msukuma
 
English ni muhimu sana.

Japo sijaelewa kama A za physics na maths hazina umuhimu ?

Mimi nikiambiwa nichague mwanangu ajue sana English ama ajue sana Mathematics. Mimi nachagua ajue mathematics

Sijawai kuona mtu aliepata A ya Mathematics ama Physics A level ambaye amekwama maisha. Sijawai kuona.

Mimi pia sijawai kuona mtu kapata Mathematics A halafu english akapata F

Ila nimewai kuona wanafunzi wengi ambao english wamepata A ila bado mathematics wamepata F
 
Ngoja divisioni 1 ya 7 au 8 ya O-level wakujie. Bado wale wa pointi 3 au 4 ya A-level. Usisahau wa GPA ya 4 (first class) wanakusogelea. Unapenda ugomvi wakati huna miguvu na gentleman pass yako ingawa maisha umetoboa.
 
Ni kweli
Haya hii hapa kazi ya UN, kutafsiri Kiswahili kwenda English, halafu ya kufanyia kazi nyumbani kwako
Hapa wakenya wanatupiga kama tumesimama, ndio maana wamejaa sana UN


1708285952684.png
 
Back
Top Bottom