Ok jamaa yuko migombani analima ....siunajua tena msimu ndio huusorry nilikuwa namaanisha amehamia wapi siku hizi? simuoni kabisaaaaaaaaa!!!
Daaah, thanks a lot SS,..naam, japo sweetlady hajaonekana bado!!
Hahahahaaaa nimeigonga tena kwa herufi kubwa sana naenda na kwenye Rep power kumpa kijana heshima yake.....Daaah, thanks a lot SS,..
Nimefurahi mpaka nimeishiwa na cha kusema...sikutarajia kupokea shukrani nzito hivi ndugu yangu... Thanks sana, sana! Karibu tena siku ingine...
erick popote ulipo gonga like badala yangu afu mie ntajazia yakwangu kesho, si unajua ni jumatatu?
Utasutwa wewe,..kwani huwa anaenda wapi?Hahahaa yupo atakuja tu usijali labda Nitonye yuko leo so wako kifamilia zaidi
Hahahahahaaa kusutwa nishaanza kuzoea.....Utasutwa wewe,..kwani huwa anaenda wapi?
Hehehe, na mimi kesho ntampa kheshima manake anaistahili. Amenishtukiza mpaka najihisi aibu lol...kwa hasira namtumia nauli aje tena!Hahahahaaaa nimeigonga tena kwa herufi kubwa sana naenda na kwenye Rep power kumpa kijana heshima yake.....
Hello wapendwa,
leo kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru sana wana JF from Arusha, distinguished thanks goes to Erickb52... I WILL MISS YOU BROTHER... to dada sweetlady... Nitakukumbuka sana pia...
Napenda kusema ahsanteni sana, You showed a good concern on me... You cared me well, though the time was too short, I APPRECIATE SANA,
A MOUTH CAN NOT TELL HOW GRATEFULL I AM, BUT PLEASE RECEIVE MY GRATITUDES FROM MY HEART.
GOODBYE...
Hahahaha! Umezoea kusutwa eeh?..lol. Sasa subiri.Hahahahahaaa kusutwa nishaanza kuzoea.....
Kazi ni kwako.....
Hebu fafanua, mie sijakuelewa.Nyie bwana haya maneno yenu, watu waanze kuhisi unajitabiria kifo bure!
Hivi we ni GB ngapi vile?Nyie bwana haya maneno yenu, watu waanze kuhisi unajitabiria kifo bure!
Halafu yale maboga hayajaiva tu hadi sasa?Hahahaha! Umezoea kusutwa eeh?..lol. Sasa subiri.
Umeona eeeeh sijui kakosea jukwaa ngoja aje afafanue maana asilete uchuroHebu fafanua, mie sijakuelewa.
Hahahaha! Msg simu zote pending tehe! Nna mkosi au wewe ndie hujaenda kanisani leo?Halafu yale maboga hayajaiva tu hadi sasa?
Daaah, thanks a lot SS,..
Nimefurahi mpaka nimeishiwa na cha kusema...sikutarajia kupokea shukrani nzito hivi ndugu yangu... Thanks sana, sana! Karibu tena siku ingine...
erick popote ulipo gonga like badala yangu afu mie ntajazia yakwangu kesho, si unajua ni jumatatu?
Na huu ni uchuro kweli, hebu atuache tuserebuke na mgeni wetu mwema Smiling Saint!Umeona eeeeh sijui kakosea jukwaa ngoja aje afafanue maana asilete uchuro
lol
Hahahahahaaaa kanisani mimi tena?Hahahaha! Msg simu zote pending tehe! Nna mkosi au wewe ndie hujaenda kanisani leo?
Umeona eeeehThanks so much, and i appreciate your concern