You can write anything you feel about this picture......
View attachment 34678tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele, TAFAKARI
BIG RESULT NOW VISION 2025
hii sio shule, katika tanzania shule ziko chache sana, hii na nyingine zifananazo ni kambi za mafunzo. ili shule iwe shule lazima iwe na viwango maalum vinavyotambulika. Wengine wana msururu wa vyumba vya kusomea piwa nao wanaita shule, watu wanafikiri mwalimu na wanafunzi wanapokuwa pamoja bila kujali mazingira yakoje hiyo kuwa hiyo ni shule.inasikitisha,ipo wapi hii shule?