wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,951
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Daahh!! Mkuu umenikumbusha Malcom X "chicken come home to roost",moja ya misemo iliyomfanya Malcom X kuwa a 'controversial' figure. The BossGood luck on your mission...
Ila na wewe ulichangia 'kiburi hiki cha viongozi wa CHADEMA'
Hii si mara ya kwanza wanakiuka misingi wanayojifanya kuisimamia
si chadema ni chama cha demokrasia lakini uchaguzi tu wa mwenyekiti
watu hawakuruhusiwa? au umesahau?...
hii inayotokea inaitwa 'chicken come home to roost'
Mliponyamaza wakati haki za watu wengine zinanyimwa ndani ya CHADEMA na hadi kuunga
mkono 'watu wakiminywa'
kina Kafulila,Zitto na wengi wengineo the list is endless...haya ndo mavuno now
Daahh!! Mkuu umenikumbusha Malcom X "chicken come home to roost",moja ya misemo iliyomfanya Malcom X kuwa a 'controversial' figure. The Boss
Nilikuwa napenda sana kusoma maandishi yako lakini wa hili la Slaa na Lowassa naona umekosa mang'amuzi kabisa! You are behind the reality!!!!Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Kweli naamini zile hela za CCM zimekufikia..mtu aliyenipa taarifa kuwa umenunuliwa na CCM kuvuruga nilijua utani sasa nimeamini..Ndugu zangu tegemeani maandiko mengi kutoka kwa huyu mtu kuanzia kesho...kama ungekuwa na nia ya dhati ungejua adui yetu ni CCM..ungetumia busara ya kubaki kimya kama ulivyobaki kimya wakati anasulubiwa Zzk..Arfi..Kafulila and the like..Wanachadema wanahitaji kuficha tofauti zao sasa ili kuitoa Ccm
MM....kwavile Mungu kanipa akili....nitaitumia vyema.....haiwezekani tumpuuze Dr Slaa dakika hii.....wengine tunajua mapito yake....nitasimama nae......
MM ni chura Wa kijaniStay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa.
Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna?
Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Good luck on your mission...
Ila na wewe ulichangia 'kiburi hiki cha viongozi wa CHADEMA'
Hii si mara ya kwanza wanakiuka misingi wanayojifanya kuisimamia
si chadema ni chama cha demokrasia lakini uchaguzi tu wa mwenyekiti
watu hawakuruhusiwa? au umesahau?...
hii inayotokea inaitwa 'chicken come home to roost'
Mliponyamaza wakati haki za watu wengine zinanyimwa ndani ya CHADEMA na hadi kuunga
mkono 'watu wakiminywa'
kina Kafulila,Zitto na wengi wengineo the list is endless...haya ndo mavuno now
Ilifikia muda ukikosoa tu chadema, utatukanwa matusi yote ya nguoni
Niliamini ni bora uwa shape/tune au kuwatayarisha viongozi wajao kuliko walioko madarakani
kambi ya chadema ikaingiwa na matusi na defence mechanism ya hali yajuu
Mbowe hakuwa mtu wa kushaurika, kusikiliza n.k
kuna watu natamani niwataje kwa majina, wamepotea kabisa,
mliyataka haya!
kwi kwi kwa kwa maccm bwana mumepata pakujipandisha chat na propaganda MM aje tu na mada zale zitasaidia kujuwa baadhi ya wanachadema wanafikiria nini ukweli kama wananchi wakiwaelewa chadema na ukawa MM naye ataelewa kwa nini CCM ing,oke mabadiriko hayana fence eti wewe usije sisi tulimwaga damuAs if your opinion matter... kama mtei na mbowe wamepitisha kalamu ya chuma wengine muandike maumivu. Chama kina wenyewe. Slaa alifurahia kipindi maamuzi ya wenye chama yalipokuwa yanamfavor akasahau kwamba ipo siku wenye chama watapata mwenye maslahi ya papo kwa papo zaidi yake.
Wakati zitto ananyolewa slaa hakukumbuka kupitisha mkasi. Mtu mlafi na mpenda hela na madaraka huwa hana rafiki zaidi ya maslahi yake.
Mbowe na mtei ndio wa tabia hizo
1.wapenda hela kuliko chochote
2. Wapenda madaraka
3. Wasokubali kupingwa
4. Wasio na upeo (kiakili yupo short-sited)
5. Wabinafsi (mmimi)
Mtu Mwenye sifa hizo hashindwi kuua kulinda hayo hapo juu.
Jiangalieni sana msije kufa premature death.
Acha kupotosha, Zitto hakuzuiwa kugombea uenyekiti !.
Acha kuongea statement za jumla jumla ambazo umezibadilisha kwenye fikra zako kuwa facts baada ya kusoma propaganda mbali mbali na kuamini kwamba huo ndio ukweli !
Nafikiri unamaanisha ya Zitto kufukuzwa
mimi sikulitaja hilo
mimi nalitaja la Zitto kuzuiwa kugombea uenyekiti
msingi wa demokraia ilikuwa wamshinde kwa hoja na kushawishi wanachama wasimchague
lakini sio kumzuia hata kugombea tu,wakati chama ni cha kidemokrasia
Huo ni mmoja wa mifano ambapo chama kiliuka misingi yake yenyewe tu inayojitangaza kuisimamia
na suala la Kafulila pia....tena Slaa huyu huyu ndo alikuwa jeuri kwa Kafulila...
Mkikiuka misingi kwa kuwatazama watu na kusema huyu ni sisimizi aende zake
na watu kama Mwanakijiji wakiona ni sawa...leo misingi hiyo hiyo inakiukwa tena
na sasa hivi ndio watu wanaamka kupinga...laiti mtu kama Mbowe angezoea kupingwa
toka mwanzo akileta kitu hakiko sawa..asingeleta haya ya sasa
ha ha we are not blind propaganda hizi hazisaidii kituIlifikia muda ukikosoa tu chadema, utatukanwa matusi yote ya nguoni
Niliamini ni bora uwa shape/tune au kuwatayarisha viongozi wajao kuliko walioko madarakani
kambi ya chadema ikaingiwa na matusi na defence mechanism ya hali yajuu
Mbowe hakuwa mtu wa kushaurika, kusikiliza n.k
kuna watu natamani niwataje kwa majina, wamepotea kabisa,
mliyataka haya!
Acha kupotosha, Zitto hakuzuiwa kugombea uenyekiti !.
Acha kuongea statement za jumla jumla ambazo umezibadilisha kwenye fikra zako kuwa facts baada ya kusoma propaganda mbali mbali na kuamini kwamba huo ndio ukweli !