Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,189
- 44,150
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Good luck on your mission...
Ila na wewe ulichangia 'kiburi hiki cha viongozi wa CHADEMA'
Hii si mara ya kwanza wanakiuka misingi wanayojifanya kuisimamia
si chadema ni chama cha demokrasia lakini uchaguzi tu wa mwenyekiti
watu hawakuruhusiwa? au umesahau?...
hii inayotokea inaitwa 'chicken come home to roost'
Mliponyamaza wakati haki za watu wengine zinanyimwa ndani ya CHADEMA na hadi kuunga
mkono 'watu wakiminywa'
kina Kafulila,Zitto na wengi wengineo the list is endless...haya ndo mavuno now
Hapana mkuu....si sawa kabisa....tuwe honest... wengine tuliwahukumu hatua kwa hatua....kwa mambo mengi.....hii case tusichanganye kabisa na wengine....tafadhali tuheshimu hilo.....
Nafikiri unamaanisha ya Zitto kufukuzwa
mimi sikulitaja hilo
mimi nalitaja la Zitto kuzuiwa kugombea uenyekiti
msingi wa demokraia ilikuwa wamshinde kwa hoja na kushawishi wanachama wasimchague
lakini sio kumzuia hata kugombea tu,wakati chama ni cha kidemokrasia
Huo ni mmoja wa mifano ambapo chama kiliuka misingi yake yenyewe tu inayojitangaza kuisimamia
na suala la Kafulila pia....tena Slaa huyu huyu ndo alikuwa jeuri kwa Kafulila...
Mkikiuka misingi kwa kuwatazama watu na kusema huyu ni sisimizi aende zake
na watu kama Mwanakijiji wakiona ni sawa...leo misingi hiyo hiyo inakiukwa tena
na sasa hivi ndio watu wanaamka kupinga...laiti mtu kama Mbowe angezoea kupingwa
toka mwanzo akileta kitu hakiko sawa..asingeleta haya ya sasa
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa. Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna? Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.