BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Baada ya kipindi kirefu cha uhaba wa pesa, madeni na stress mara paah mchongo huu hapa inabidi nisafiri mpaka Border Tunduma nakabidhiwa kibunda kwa ajili ya safari na kazi, what a wonderful day nafanya clearance ya madeni yangu na tayari kwa ajili ya safari nakutanishwa na suka wa Scania R440 nyuma ikiwa na mzigo wa tani 26 ambao ndio jukumu langu kuhakikisha unafika destination husika.
Kwangu mimi sio kazi ni refreshment maana a trip with nature is very beautiful adventure safari yetu iliaanza ijumaa saa moja za usiku toka Dsm stori za hapa na pale ukweli ni zaidi ya adventure na vile kibunda kipo basi full kugombania kulipa bill pale tunaposimama kwa ajili ya chakula.
Hatimae tukafika Tunduma jpili asubuhi kwa vile mzigo wetu ni special case tukapewa kipaumbele kufikisha kwenye ofisi za border tukafanya makabidhiano na maafisa wa border jukumu langu likawa limeisha nikatafuta sehemu nikaoga na kubadilisha nguo nikapiga menu na kupumzika kidogo.
Sikuwa na haraka ya kurudi dar nikatenga kama siku mbili za kuexplore Tunduma ilikuwa mwendo wa mbuzi katoliki ugali na pombe kidogo sehemu niliyofikia Kuna barmaid nilimuelewa ila sikuwa na pupa kudeal naye nilipanga kumchombeza siku Moja kabla ya kuondoka ili tusizoeane kivile.
Siku Moja kabla ya kuondoka as usual nimeshiba nikaanza kupiga zangu lager taratibu huku jioni inaingia baada ya vitu kukaa nikamuita yule mrembo muonekane wake ni short chassis iliyoshiba nina experience nao hawa watu hawana kazi mbovu nikamwambia kuwa free agiza bibie mtoto hana gharama naye kaagiza local beer na kiepe stori za hapa na pale mi namzea mate balaa.
Saa saba hao mdogomdogo kwenye room niliyofikia ilikuwa ni experience ya sex tourism wote tulikuwa under influence ya alcohol kilichofanyika ni zaidi ya ufuska kinga ilitumika mara ya kwanza tu round zilizobakia ilikuwa nyama kwa nyama asubuhi ilivyofika nikampa fungu lake tukabadilishana namba Mimi huyo stendi kuanza kuitafuta Dar es salaam.
sijui yule Mwanamke alikuwa anafikiria nini.. alinitumia sms nanukuu "kwa nn jana umenitumia bila ya kondom mm mwenzako natumia dawa"
Kwangu mimi sio kazi ni refreshment maana a trip with nature is very beautiful adventure safari yetu iliaanza ijumaa saa moja za usiku toka Dsm stori za hapa na pale ukweli ni zaidi ya adventure na vile kibunda kipo basi full kugombania kulipa bill pale tunaposimama kwa ajili ya chakula.
Hatimae tukafika Tunduma jpili asubuhi kwa vile mzigo wetu ni special case tukapewa kipaumbele kufikisha kwenye ofisi za border tukafanya makabidhiano na maafisa wa border jukumu langu likawa limeisha nikatafuta sehemu nikaoga na kubadilisha nguo nikapiga menu na kupumzika kidogo.
Sikuwa na haraka ya kurudi dar nikatenga kama siku mbili za kuexplore Tunduma ilikuwa mwendo wa mbuzi katoliki ugali na pombe kidogo sehemu niliyofikia Kuna barmaid nilimuelewa ila sikuwa na pupa kudeal naye nilipanga kumchombeza siku Moja kabla ya kuondoka ili tusizoeane kivile.
Siku Moja kabla ya kuondoka as usual nimeshiba nikaanza kupiga zangu lager taratibu huku jioni inaingia baada ya vitu kukaa nikamuita yule mrembo muonekane wake ni short chassis iliyoshiba nina experience nao hawa watu hawana kazi mbovu nikamwambia kuwa free agiza bibie mtoto hana gharama naye kaagiza local beer na kiepe stori za hapa na pale mi namzea mate balaa.
Saa saba hao mdogomdogo kwenye room niliyofikia ilikuwa ni experience ya sex tourism wote tulikuwa under influence ya alcohol kilichofanyika ni zaidi ya ufuska kinga ilitumika mara ya kwanza tu round zilizobakia ilikuwa nyama kwa nyama asubuhi ilivyofika nikampa fungu lake tukabadilishana namba Mimi huyo stendi kuanza kuitafuta Dar es salaam.
sijui yule Mwanamke alikuwa anafikiria nini.. alinitumia sms nanukuu "kwa nn jana umenitumia bila ya kondom mm mwenzako natumia dawa"