Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wao kututukana wanaona kawaida.Daah jamani, halafu haya mambo wanaume wanayatetea kabisa wanayaona ya kawaida.
Hawataki tufanye kazi..ukikubali usifanye manyanyaso yake Sasa...unakula matusi kila siku
.


