A letter to my future lover

A letter to my future lover

Lizarazu siku akiandika Kama hivyo..nitafunga 3 kavu
mimi nitaenda mwezini kwa miguu aisee
Nyie mbona mna vizabina zabina sana?

Au mmoja wenu hapa ndio huyu dumb girl?

Enough of having me in your invective scornful conversation here, don't precipitate my cantankerousness it won't spare nobody an atter.
 
Ningekuwa bado nipo Arusha ningekutafuta ila wacha niwaache vijana wapambane nliwah kuwa na rafiki maeneo ya njiro tanesco mnafanana sana mwandiko, wanawake wa stail yako they are fun to talk to kama unawaelewa, japokuwa wanacomplications kweli kweli as far as a normal Tanzanian's men life is concerned. Ni wanaume wachache sana wanajuaga kudeal na type hii ya wanawake, sababu wanawake wa type hii wanajuaga vitu vingi na wanaume wengi wa kiTanzania mwanamke akiwa anajua vitu vingi vingi na anajua kingereza kidogo wao wanaanza kufeel inferior, and insecure na hapo ndio TATIZO linapoanzaga, kama unabisha soma comments utaelewa nasema nini....ANYWAYS Umejua kuwachallenge washkaji....

Micrófono abajo
 
Nyie mbona mna vizabina zabina sana?

Au mmoja wenu hapa ndio huyu dumb girl?

Enough of having me in your invective scornful conversation here, don't precipitate my cantankerousness it won't spare nobody an atter.
Tutaacha kukuweka kwenye hizi convo zetu za kipuuzi

Kwa hiyo kwa sababu tuna 23 Basi I'd hiyo Ni yetu?? Lizarazu bwana
Haki ya Nani
Karma
 
Sina kigezo hata kimoja ila nina hela ya kufa mtu.Na kwa bahati mbaya kwa sasa bado nipo machimboni huku Geita nimefukiwa na kifusi na mwenzangu mmoja leo ni siku ya nne . Kama nikifanikiwa kutoka hai humu shimoni, nitakutafuta ukishafika miaka 30 ambapo utakuwa unatafuta mwanaume yeyote.
 
Nyie mbona mna vizabina zabina sana?

Au mmoja wenu hapa ndio huyu dumb girl?

Enough of having me in your invective scornful conversation here, don't precipitate my cantankerousness it won't spare nobody an atter.
Akrrrrrr
 
ila kweli demu akija mtandaoni kutafuta mwanaume...hawezi kuwa wa kuvutia hata kidogo manake mtaani wanaume wanamkwepa
 
haki nilijua tu lazima kuna mwanaume atakuja kusema kitu kama hiki maana ukiongelea swala la mwezini wao ndicho wanachowaza hicho nyambafu zao, sasa na mimi nimeshakuwa Zurri nataka anipe tafsiri ya hiyo sentensi katika kiswahili sanifu
 
Back
Top Bottom