A letter to my future lover

A letter to my future lover

Hivi Ni kweli amemaanisha alichokisema eeh??
Huyu Lizarazu natamani akutane na Hannah
Cheche zitalipuka
kutokana na comments zake juu yake mimi huwa nahisi anamaanisha kweli kutoka moyoni maana siyo mara moja

yaani halafu sijui kwanini hawajawahi kukutana sema hata kwa huyu kashashindwa ila basi tu anaendelea kutunisha misuli
 
kutokana na comments zake juu yake mimi huwa nahisi anamaanisha kweli kutoka moyoni maana siyo mara moja

yaani halafu sijui kwanini hawajawahi kukutana sema hata kwa huyu kashashindwa ila basi tu anaendelea kutunisha misuli
Naona wamekomaa tangu Jana Hadi nahisi mishipa imemtoka kichwani.
Wakija kukutana wale Moto utalipuka.

Lizarazu maneno mengi mno yaani dah...
 
Naona wamekomaa tangu Jana Hadi nahisi mishipa imemtoka kichwani.
Wakija kukutana wale Moto utalipuka.

Lizarazu maneno mengi mno yaani dah...
Halafu naona kama siku mbili hizi ndiyo kazidi kucharuka aisee
 
Lizarazu punguza bhana kubishana Sana na watoto wa kike.
Hizi ligi na watoto wa kike zinakuharibia CV bhana ..ujue wewe mpwa wa anko magu
Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..
 
Ana maneno makali Sana.
Unaenjoy wanavyoendelea kutupiana maneno hapa?
Sasa nifanyaje ndugu yangu?? Nitamkataza mtu mzima kweli?? Halafu ukizingatia mimi huyo ananichukia hivyo hawezi kunisikiliza!! Muambie wewe tu atakusikiliza!!
 
Tatizo wameanza kuattackiana
Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..
 
Sasa nifanyaje ndugu yangu?? Nitamkataza mtu mzima kweli?? Halafu ukizingatia mimi huyo ananichukia hivyo hawezi kunisikiliza!! Muambie wewe tu atakusikiliza!!
Kwahiyo Mimi ndiyo hanichukii??
SI najitoaga tu ufahamu kumwambia...hapa muda wowote kibao kinaweza kugeukia kwangu
 
Pole sana mwanaume. Ndo hasara ya kuuchezea maisha yako, hukusoma kwa bidii, kichwani you have nothing, muonekano huna, you have nothing but bitterness. Kinachouma zaidi hata wasichana wazuri huwapati. Unaumiaje ukiona wanaume wenye qualities zao ndio wanaopendwa na wanawake.
It maybe true kichwani i hav nothing...but I can't argue with you since you call yourself dumbgirl....
 
Let's talk about Jesse Ventura and his conspiracy theories and debate why cannabis should or shouldn't be legalized
I like this concept!
Lets discuss a little bit about the theory of black Hole by Prof Hawking.. do you think is it relevant?.. From Logical reason of your viewpoint.. is it really possible to see great wall of china from Moon/Space keeping in Mind that Great wall of China is two cars wide!

Sincerely Khan
 
Thread ipi tena?
Kuna threads Kama tatu huko
Moja ilikuwa mke kamfungia mumewe mlango..hataki kufungua kwa sababu alienda mpirani ..akamjibu kwamba aende kulala alikotoka.

Lizarazu anasema the moment mlango utafunguliwa na Yeye kuingia ndani Basi mkewe anatoka
Anasema Ni Bora ukaachana na mke kuliko kuachana na man u au Liverpool Maana Liverpool haiwezi ikakuacha..mke anaweza kukuacha.
 
Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..
Sasa mkuu mbona na kwenye ndoa hamkuwagi hivyo eti?? Mnasemaga eti mwanaume hatakiwi kuongea sana yeye ni kupiga tu??
 
Mtu mwenyewe wewe ndio wa kutesekea? Kwa lipi hasa wakati wewe ni rejected tu kwanzia kwenu mpaka mitaani unakoishi?

Na umri wako wa miaka 23 tayari umeshaanza kuzurura mitandaoni una tafuta mabwana wakati wenzako wenye mvuto wao wanapokuwa kwenye umri huo ndio kipindi ambacho wana sumbuliwa na wanaume kibao wa kila kariba.. wanakuwa na options nyingi ni kitendo cha ku-pick tu mwanaume mwenye vigezo anavyohitaji wala hawawezi kuja kutafuta bwana mtandaoni hata kidogo.

Mara nyingi mtu anayekuja mtandaoni huku ni yule aliyekosa soko huko mitaani anakoishi, na anakuja huku kujaribu bahati out of desperation baada ya kuona hakuna mwanaume anayeshoboka na yeye hasa wale wenye sifa anazozihitaji wanampita tu kama kisiki.

Na wengi wao tunaowaona hapa ni wale ambao umri umesogea kidogo, sasa wewe na umri wako wa miaka 23 hakuna anayekutaka huko mtaani je ukifika kwenye 28-29 si ndio utakuwa unaonekana taka taka kabisa hata chizi hawezi kukuangalia mara mbili.

Dumb ass b'tch you must be ugly AF.

Unajifanya kuleta u-much knowing hapa wakati ni katahira fulani tu ambako kako utumwani kwa kuiga kila kitu cha magharibi!!

Eti wanaume wenye qualifications zao wametuma, ni mwanaume gani mwenye akili zake timamu anaweza akakuchukulia serious westernized dunderhead kama wewe!?

Hii avatar yako tu inaelezea kila kitu kuhusu wewe, inakuonesha wewe ni kajitu ka aina gani.

Huna akili hata kidogo i would rather date a goat than making a move to dumb ass harlot like you.
Maneno makali mno haya..punguza hasira mkuu.
 
Back
Top Bottom