Thatdumbgirl
Senior Member
- Sep 19, 2019
- 111
- 169
- Thread starter
- #361



kutokana na comments zake juu yake mimi huwa nahisi anamaanisha kweli kutoka moyoni maana siyo mara moja


yaani halafu sijui kwanini hawajawahi kukutana sema hata kwa huyu kashashindwa ila basi tu anaendelea kutunisha misuliNaona wamekomaa tangu Jana Hadi nahisi mishipa imemtoka kichwanikutokana na comments zake juu yake mimi huwa nahisi anamaanisha kweli kutoka moyoni maana siyo mara moja
yaani halafu sijui kwanini hawajawahi kukutana sema hata kwa huyu kashashindwa ila basi tu anaendelea kutunisha misuli







.He is a certified misogynist!! Do not mind him..Actually anaenjoy Ku harass wanawake. Sijui anadhani ntajifungia chumbani nianze kulia. Ana stress sana, na itakuwa alikuwa traumatized. Dawa yake unamwacha anajiongelesha mwenyewe.
Ana maneno makali Sana.Muache aendelee inampa amani moyoni mwake mie acha niwe mpenzi msomaji tu kwanza
Halafu naona kama siku mbili hizi ndiyo kazidi kucharuka aiseeNaona wamekomaa tangu Jana Hadi nahisi mishipa imemtoka kichwani.
Wakija kukutana wale Moto utalipuka.
Lizarazu maneno mengi mno yaani dah...
Kuna thread kule aliuwasha MotoHalafu naona kama siku mbili hizi ndiyo kazidi kucharuka aisee



.Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..Lizarazu punguza bhana kubishana Sana na watoto wa kike.
Hizi ligi na watoto wa kike zinakuharibia CV bhana ..ujue wewe mpwa wa anko magu![]()
Sasa nifanyaje ndugu yangu?? Nitamkataza mtu mzima kweli?? Halafu ukizingatia mimi huyo ananichukia hivyo hawezi kunisikiliza!! Muambie wewe tu atakusikiliza!!Ana maneno makali Sana.
Unaenjoy wanavyoendelea kutupiana maneno hapa?
Thread ipi tena?Kuna thread kule aliuwasha Moto.
Hadi nikahisi atakuwa amempa mtu simu
Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..
Kwahiyo Mimi ndiyo hanichukii??Sasa nifanyaje ndugu yangu?? Nitamkataza mtu mzima kweli?? Halafu ukizingatia mimi huyo ananichukia hivyo hawezi kunisikiliza!! Muambie wewe tu atakusikiliza!!











It maybe true kichwani i hav nothing...but I can't argue with you since you call yourself dumbgirl....Pole sana mwanaume. Ndo hasara ya kuuchezea maisha yako, hukusoma kwa bidii, kichwani you have nothing, muonekano huna, you have nothing but bitterness. Kinachouma zaidi hata wasichana wazuri huwapati. Unaumiaje ukiona wanaume wenye qualities zao ndio wanaopendwa na wanawake.
I like this concept!Let's talk about Jesse Ventura and his conspiracy theories and debate why cannabis should or shouldn't be legalized
Kuna threads Kama tatu hukoThread ipi tena?

















Sasa mkuu mbona na kwenye ndoa hamkuwagi hivyo eti?? Mnasemaga eti mwanaume hatakiwi kuongea sana yeye ni kupiga tu??Hili nalo tatizo. Kubishana watu wa jinsi mbili haipunguzi heshima upande wowote na ndiyo maana hakuna jukwaa la wanaume peke yao wala wanawake peke yao. Muhimu watu wasivunjiane heshima katika mabishano hayo kwa kujikita kwenye mzizi wa hoja husika bila kutumia ad hominem attacks..
Maneno makali mno haya..punguza hasira mkuu.Mtu mwenyewe wewe ndio wa kutesekea? Kwa lipi hasa wakati wewe ni rejected tu kwanzia kwenu mpaka mitaani unakoishi?
Na umri wako wa miaka 23 tayari umeshaanza kuzurura mitandaoni una tafuta mabwana wakati wenzako wenye mvuto wao wanapokuwa kwenye umri huo ndio kipindi ambacho wana sumbuliwa na wanaume kibao wa kila kariba.. wanakuwa na options nyingi ni kitendo cha ku-pick tu mwanaume mwenye vigezo anavyohitaji wala hawawezi kuja kutafuta bwana mtandaoni hata kidogo.
Mara nyingi mtu anayekuja mtandaoni huku ni yule aliyekosa soko huko mitaani anakoishi, na anakuja huku kujaribu bahati out of desperation baada ya kuona hakuna mwanaume anayeshoboka na yeye hasa wale wenye sifa anazozihitaji wanampita tu kama kisiki.
Na wengi wao tunaowaona hapa ni wale ambao umri umesogea kidogo, sasa wewe na umri wako wa miaka 23 hakuna anayekutaka huko mtaani je ukifika kwenye 28-29 si ndio utakuwa unaonekana taka taka kabisa hata chizi hawezi kukuangalia mara mbili.
Dumb ass b'tch you must be ugly AF.
Unajifanya kuleta u-much knowing hapa wakati ni katahira fulani tu ambako kako utumwani kwa kuiga kila kitu cha magharibi!!
Eti wanaume wenye qualifications zao wametuma, ni mwanaume gani mwenye akili zake timamu anaweza akakuchukulia serious westernized dunderhead kama wewe!?
Hii avatar yako tu inaelezea kila kitu kuhusu wewe, inakuonesha wewe ni kajitu ka aina gani.
Huna akili hata kidogo i would rather date a goat than making a move to dumb ass harlot like you.