Nina maswali kama 100 hivi. Ila kwa sababu muda hautoshi ntauliza moja tu.
QN: Nini kilichokushawishi uje kutafuta baharia jamii forum? Umekosa mtaani?
Swali la nyongeza, kwenye scale ya 1-10, unajipa ngapi kwa uzuri?
Sijakosa wanaume, sijaridhika tu. Na disadvantage ni kuwa mwanaume yeyote anaweza kumtongoza mwanamke, wengi tu, Ila mwisho wa siku unagundua kuna vitu hamko compatible at all.
So modern day problems need modern day solutions.
Mnaweza mkanicheka na kunikebehi na kuniona najiona wathamani sana Ila niko real na ninachokitaka, na hii imemisaidia sana kwenye mahusiano.
I'm going to give this explanation for those with inquiries;
Mahusiano yangu ya Kwanza yaliisha my ex alivyorudi nchini kwao ndio maana nimesisitiza kwenye proximity.
I stayed single but sexually active for a while before starting another relationship which ended up because of trust issues.
Again I'm single but sexually active.
In all those relationships, my exes or I were not perfect but atleast we were compatible based on my standards. Sijawahi settle for less na changamoto nlizopata kwenye mahusiano yaliyopita najaribu kuyakabili kwa kuboresha my standards.
Sio rahisi kupata mwanaume mwenye hizo qualities randomly in real life, kwahiyo kuweka hii post itasaidia kuongeza my chances of getting him.
Kuhusu uzuri, sitaweza kusema I'm a 2, 8 or 10. Beauty is perceived differently by people, it could be a combination of alot other things or just physical aspects to others.
Ila mimi najitambua ni mzuri, some will agree with that, some will not. Everyone has their preferences. As I said, beauty lies in the eyes of the beholder.