Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Msukuma mwenye busara ya Hali ya juu

Inaonekana unajua unachokitafuta; na ni haki yako kukitafuta mpaka ukipate. Shida kubwa katika jamii yetu ni kwamba watu wamejivika uhakimu wa kuamria watu wengine waishije. Kumbe kila mtu ana haki kabisa ya kuishi atakavyo na kufanya akipendacho ali mradi tu asivunje sheria. Ndiyo. Umeweka vigezo vingi sana katika huyu mwenzi unayemtafuta lakini ni haki yako. Cha muhimu tu jaribu kumshirikisha Mungu (kama unamwamini). Kwa tunaoamini na wenye exposure kidogo na mambo haya hili ndilo jambo kubwa kabisa katika kutafuta mwenzi wa maisha. Kapate unachokitafuta![]()





