A letter to my future lover

A letter to my future lover

Msukuma mwenye busara ya Hali ya juu[emoji3526][emoji3526]
Inaonekana unajua unachokitafuta; na ni haki yako kukitafuta mpaka ukipate. Shida kubwa katika jamii yetu ni kwamba watu wamejivika uhakimu wa kuamria watu wengine waishije. Kumbe kila mtu ana haki kabisa ya kuishi atakavyo na kufanya akipendacho ali mradi tu asivunje sheria. Ndiyo. Umeweka vigezo vingi sana katika huyu mwenzi unayemtafuta lakini ni haki yako. Cha muhimu tu jaribu kumshirikisha Mungu (kama unamwamini). Kwa tunaoamini na wenye exposure kidogo na mambo haya hili ndilo jambo kubwa kabisa katika kutafuta mwenzi wa maisha. Kapate unachokitafuta [emoji1545][emoji1545]
 
Sasa unaleta magazeti iyo yote kutafuta bwana ........ Sura limekukomaaa kama kundu la nyani mzee[emoji30][emoji30][emoji30]

Hata kwa machungwa mawili siwezi kuwa na jitu kama wewe!!

Mara nyingi mijitu kama wewe mnakuwaga mibaya mishape ni kama mitangawizi halieleweki[emoji3073]
Kama huna vigezo tulia..
Ya Nini kumtukana dada wa watu...wenye navyo wataenda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nitaenda mwezini kwa miguu aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani siku akifanya hivyo...Kama bahati mbaya nitakuwa sijaona please utanitag.
Najitoa tatu kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona hajui kubalance shobo
Wengi wanaopiga kelele humu hawana vigezo.
SI ajabu huyu jamaa hata angetaka kupeleka mahari mill100 dada angemkataa.

Anaanza ooh Mara machungwa mawili Mara sijui Nini,utadhani mada Ni ya machungwa bwana[emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani siku akifanya hivyo...Kama bahati mbaya nitakuwa sijaona please utanitag.
Najitoa tatu kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usijali nitakutag mimi na wewe tena, sasa sijui ndiyo lini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi wanaopiga kelele humu hawana vigezo.
SI ajabu huyu jamaa hata angetaka kupeleka mahari mill100 dada angemkataa.

Anaanza ooh Mara machungwa mawili Mara sijui Nini,utadhani mada Ni ya machungwa bwana[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu naona hajachokozwa kakimbilia matusi sasa angechokozwa sijui ingekuwaje
 
Usijali nitakutag mimi na wewe tena, sasa sijui ndiyo lini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahadi Ni deni.
Na wewe nitakutag ili utimize ahadi ya kutembea kwa mguu Hadi mwezini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ahadi Ni deni.
Na wewe nitakutag ili utimize ahadi ya kutembea kwa mguu Hadi mwezini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nimeandika kwa kujiamini kwa sababu najua hawezi kufanya hivyo kama ambavyo siwezi kuenda mwezini kwa miguu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani siku akifanya hivyo...Kama bahati mbaya nitakuwa sijaona please utanitag.
Najitoa tatu kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu sasa uchokozi...
 
Nakuona tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nimeandika kwa kujiamini kwa sababu najua hawezi kufanya hivyo kama ambavyo siwezi kuenda mwezini kwa miguu
Mimi nimeandika kwa kujiamini Maana tatu kavu si mchezo...unaweza kuzima katikati[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
In case akafanya walahi nitaisoma namba
 
For what?! So much unrealistic specifications of yours.
No wonder at your age too much fantasy.
Intime you will squeze them to none.
 
Nakuona tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeandika kwa kujiamini Maana tatu kavu si mchezo...unaweza kuzima katikati[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
In case akafanya walahi nitaisoma namba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisa
 
Back
Top Bottom