Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Man, anyone can call himself or herself anything.It maybe true kichwani i hav nothing...but I can't argue with you since you call yourself dumbgirl....
Man, anyone can call himself or herself anything.It maybe true kichwani i hav nothing...but I can't argue with you since you call yourself dumbgirl....
This brings me to another question, can the pyramids also be seen from space like what most people say?I like this concept!
Lets discuss a little bit about the theory of black Hole by Prof Hawking.. do you think is it relevant?.. From Logical reason of your viewpoint.. is it really possible to see great wall of china from Moon/Space keeping in Mind that Great wall of China is two cars wide!
Sincerely Khan
Poster will clarify these questions, she do likes these kind of conversations!This brings me to another question, can the pyramids also be seen from space like what most people say?
Unaona mitazamo yao hii?? Halafu eti ndiyo wanataka sisi tuwapende wao kama walivyo!!Kuna threads Kama tatu huko
Moja ilikuwa mke kamfungia mumewe mlango..hataki kufungua kwa sababu alienda mpirani ..akamjibu kwamba aende kulala alikotoka.
Lizarazu anasema the moment mlango utafunguliwa na Yeye kuingia ndani Basi mkewe anatoka
Anasema Ni Bora ukaachana na mke kuliko kuachana na man u au Liverpool Maana Liverpool haiwezi ikakuacha..mke anaweza kukuacha.
U wife material wangu uko wapi huku kila siku nabishana naeHapana, Lizarazu anapenda wanawake wife material kama wewe siyo sisi.










Yeah, but what is your opinion?Poster will clarify these questions, she do likes these kind of conversations!
Niliwaona wajinga Sana.Unaona mitazamo yao hii?? Halafu eti ndiyo wanataka sisi tuwapende wao kama walivyo!!

Si ndiyo maana nasema ana matatizo huyo aiseeU wife material wangu uko wapi huku kila siku nabishana nae
Kwenye vigezo vyake sigusi hata kimoja...hujaona kule juu amesema wanawake waliofika chuo wanakuwa wapumbavu?


Sasa mtu Kama huyu anayekulinganisha na club ya Manchester humo ndani mbona utanyanyasika SanaUnadhani kwao mwanamke ana thamani sasa??



Anataka tusisome ili waanze kutulinganisha na club za BarcelonaSi ndiyo maana nasema ana matatizo huyo aisee





.Last night i had been hinking over that fact, i failed to realize it!Yeah, but what is your opinion?
Wanawake wa kiafrika kazi tunayo hakiKumbeSasa mtu Kama huyu anayekulinganisha na club ya Manchester humo ndani mbona utanyanyasika Sana
![]()
Daah hayo maneno yameniuma utadhani nimetukanwa mimiAnataka tusisome ili waanze kutulinganisha na club za Barcelona.
Kuna dada angu mmoja hivi...aliolewa na Huyo mbaba ..kuna siku alimwagiza kitu,bahati mbaya akasahau..
Alivyorudi wacha amtukane...anamwambia unadhani hizi kazi zetu nikawa zako za kupika maandazi...Mimi nafanya kazi na sijasahau..wewe nakuagiza unasahau na upo tu nyumbani..ndio Maana shule ilikushinda.



sipendi kuona mwanamke mwenzangu ananyanyaswa jamani, machozi yamenilenga.OkayLast night i had been hinking over that fact, i failed to realize it!
Alinyanyasika yule dada.Daah hayo maneno yameniuma utadhani nimetukanwa mimisipendi kuona mwanamke mwenzangu ananyanyaswa jamani, machozi yamenilenga.
Daah jamani, halafu haya mambo wanaume wanayatetea kabisa wanayaona ya kawaida.Alinyanyasika yule dada.
Ilifika kipindi mumewe aliacha kula nyumbani...alipata michepuko...akahamisha nguo,anarudi siku akijisikia.
Akaacha kumuachia hela ya kula,imagine maisha ya dar
Akawa anaomba kwa majirani Chakula,wacha amtukane..umeanza kuhongwa.
Acha tu