A+ IT Technician Nitapata kazi Tanzania?

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Nina hiyo qualification je ninaweza kupata kazi nyumbani tanzania??naombeni ushauri nimechoka kuishi ugenini
 
kaka labda upate kazi ukiwa hukohuko ndo wakuite! lakini ukija hapa uta hustle mpka basi! nina kaka yangu alitoka Philipines na qualification zake + experience but mpaka leo aliishia kuitwa shule ya secondary akafundishe computer, ana laani y? he did back in this country
 
qualification yako ni A+ pekee? what about N+ and other certification like CCNP, MCSE? kama ni hiyo moja tu we bora ubaki huko kama umepata bahati ukapata kazi huku wanaangalia zaidi vyeti kuliko uwezo wa mtu!!!
 
Nifafanulie kwanza A+ IT technician ndo nini? Unatofauti gani na technicians wa University of Dar es salaam computing centre?
Ukinifafanulia hayo naweza kukufikiria kukupa kazi!
 
ni qualification inayotolewa na microsoft,mtu mwenye hiyo qal ni mtaalama wa product za microsoft kama operating system,windows na application,vilevile ni mtaalam wa network,computer troubleshoot,server,etc
 
ni qualification inayotolewa na microsoft,mtu mwenye hiyo qal ni mtaalama wa product za microsoft kama operating system,windows na application,vilevile ni mtaalam wa network,computer troubleshoot,server,etc

Hii kali, una cert lakini haujui imetoka wapi, A+ sio product ya Microsoft. Kama umepata kazi huko ulipo na A+ basi una bahati sana mara nyingi haipewagi uzito sana, baki huko huko, haitakusaidia sana kwenye kutafuta kazi.
 
aje ajiajili kama sisi tulivyotoka nayo india ingawa tulipata kazi na badaye tumeamua kujiajili wenyewe
 
Njoo tu uje kukomaa kazi zipo ila za kutafuta na tochi ila usiweke guarantee kwa saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana mwanangu...Issue ni kukomaa tu.
 
qualification yako ni A+ pekee? what about N+ and other certification like CCNP, MCSE? kama ni hiyo moja tu we bora ubaki huko kama umepata bahati ukapata kazi huku wanaangalia zaidi vyeti kuliko uwezo wa mtu!!!

Hii kali, una cert lakini haujui imetoka wapi, A+ sio product ya Microsoft. Kama umepata kazi huko ulipo na A+ basi una bahati sana mara nyingi haipewagi uzito sana, baki huko huko, haitakusaidia sana kwenye kutafuta kazi.

ukiunganisha point hizi mbili utapata jibu....
 
Nakushauri kabla hujarudi jaribu kusoma certification nyingine kama CCNA,MCSE at least ukija bongo hutapata shida but ukija na hiyo A+ haina deal sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom