A humble request to CCM

Literally ni kwamba chama cha siasa Tanzania ni kimoja. Na ndicho kinachopaswa kutoa Rais wa kuongoza nchi. H

Kibaya zaidi kuna kikundi cha viongozi wastaafu wa serikali na vyombo vya dola kinaamua nani awe rais kisha huyo rais tunaambiwa ni kupitia chama fulani, huku wananchi wakipoteza muda wao kwenda kupanga mstari kwenye box la kura eti wanamchagua rais! Bila machafuko tutaendelea kubambikiziwa viongozi ambao hawatokani na box la kura.
 
Kibaya zaidi kuna kikundi cha viongozi wastaafu wa serikali na vyombo vya dola kinaamua nani awe rais kisha huyo rais tunaambiwa ni kupitia chama fulani, huku wananchi wakipoteza muda wao kwenda kupanga mstari kwenye box la kura eti wanamchagua rais! Bila machafuko tutaendelea kubambikiziwa viongozi ambao hawatokani na box la kura.
Hivi vikundi vipo nchi zote duniani!
 
Kumbe bado kuna watu wanaamini kwenye Chama kushika hatamu!.
Nchi hii ni Watanzania, what does CCM have to do with it, wakati CCM ni chama tuukama vyama vingine?.
Haya ndio mambo ya Mbowe kumpigia magoti Magufuli badala ya kusisitiza afuate katiba inasema nini!.
Tutaendelea kuomba kuongozwa kwa hisani mpaka lini?.
P
Kaka!!! hii ni account yako au imekuwa hacked?
 
Dear CCM central commetee !
Am presenting this to you knowing that you have all powers and resources to heal the nation.

Nyerere once said whoever would be nominated by CCM he would likely be the head of our house.

Considering this mwalimu statement plz do all what u can to bring another candidate to contest with others.

My reasons are simple.

1. The incumbent several times quoted to have said the position is tough for him and a burden as well.

2.It should be a way forward towards reconciliation and opening the page of new era in our country!

Lastly my friends in inner echelons do this for the betterment of our beloved country and you will be blessed for this.

Marry Christmas and happy New year!!
Nakuomba uwatafsirie vinginevyo ujumbe wako hawatauelewa zaidi ya neno CCM.
 
Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P
Anza wewe kumlazimisha. Maridhiano ni muhumu, dunia imesikia. la kutokea likitokea hata wewe utasema neno la kulaumu. Jitokeze wewe uliye jasiri uwe wa kwanza.
 
unaeza jua rangi ya kinyonga pascal mayalla
unahisi magufuri ni mkarimu ama mpole ama anaweza kutekeleza utu kwa kujali haki za wananchi wake...

yani anachowaza ndugu yetu huyu ni kutawala kibabe kulazimishe kwa gharama yoyote ata kwa kuligharimu taifa damu na fedha ilimradi wabaki ikulu na kuwa na wabunge wengi.
next season magu atataka wawe 95% bungeni
 
unaeza jua rangi ya kinyonga pascal mayalla
unahisi magufuri ni mkarimu ama mpole ama anaweza kutekeleza utu kwa kujali haki za wananchi wake...

yani anachowaza ndugu yetu huyu ni kutawala kibabe kulazimishe kwa gharama yoyote ata kwa kuligharimu taifa damu na fedha ilimradi wabaki ikulu na kuwa na wabunge wengi.
next season magu atataka wawe 95% bungeni
 
Dear CCM central commetee !
Am presenting this to you knowing that you have all powers and resources to heal the nation.

Nyerere once said whoever would be nominated by CCM he would likely be the head of our house.

Considering this mwalimu statement plz do all what u can to bring another candidate to contest with others.

My reasons are simple.

1. The incumbent several times quoted to have said the position is tough for him and a burden as well.

2.It should be a way forward towards reconciliation and opening the page of new era in our country!

Lastly my friends in inner echelons do this for the betterment of our beloved country and you will be blessed for this.

Marry Christmas and happy New year!!
Rubbish cc Retired
 
Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P
So mkuu unakubali kama Mgufuli hafuati katiba katika kutawala?
 
Hakuna gharama zozote, katiba imeweka kila kitu wazi kuanzia katiba yenyewe, sheria, taratibu na kanuni. Sio favours, sio hisani, sio huruma ni haki.
P
Uko sawa Mkuu,lakini je wenye dhamana wako tayari kwa dhati kabisa kuifuata Katiba ya Nchi..?

Maana kumekuwepo na uvunjaji Mkubwa wa Katiba na sheria tulizojiwekea.
Mfano mzuri ni jinsi watu wanavyotekwa na kupotezwa na jamii iko kimya siyo Bunge wala serikali ni kama hawalioni hili suala.

Uhuru wa mtu kuishi kwa usalama na kufanya shughuli zake kihalali lipo Kikatiba.
 
Maridhiano for what?. Begging for your rights ni sawa na baby crying. Tanzania hatuhitaji kufanya siasa kwa hisani ya CCM au kwa hisani ya rais Magufuli!, wanatakiwa kujitokeza wanasiasa jasiri kumlazimisha rais Magufuli afuate katiba na sio kumpigia magoti na kumuomba as if ni hisani au kuomba huruma yake.
Why beg for your rights.
P
😳 Huyu ni brother Pascal au macho yangu yamekengezeka ! Nimezoea kusoma mafumbo yake tu, leo duuu !
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom