A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Wanaweza wakamuua Dr but hawawezi kuua mawazo yake ya ukombozi kwa wana taharuma ya Udaktari na tasnia ya afya kwa ujumla.Aluta continue, Ata tunisia wanyonge ndio waliotia chachu kuiondoa serikali ya kifedhuli madarakani, sitegemei mwana ccm au mafisadi waunge mkono jitihada hizi za ukombozi but ni wale tu wanaopata shida na kuathirika na wizi huu na uonevu.
 
Mkuu ahsante kwa taarifa hivi yamekuwa hayo, wakimuuwa Dr Ulimboka watapata faida gani au wanataka kuwatisha madaktari??? Ndugu zake wawafungulie mashitaka hao waliofanya unyama huo, kuanzia huyo ofisa na watu aliowatumia!!! Hii serikali imechoka kukaa madarakani wamekuwa wauuwaji mara Igunga, Arusha mjini, Arumeru, sasa Dar kwa daktari!!!

 
Hii inatisha sana. Pole sana doctor Ulimboka kwa masahibu yaliyokufika.
 
Maskini Tanzania yangu jamani, tumefika hapa. uuuuuuuuuuuuuuuwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mkuu wa emergency dept anazuia gari kwenda kumchukua Daktari mwenzake aliyeokotwa akiwa hajitambui?
Aisee ndiyo maana migomo yenu haifanikiwi wakuu...
 
Haya maneno kayasema ulimboka mwenyewe au?
 
If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................
 
ilikuwa ni kulazimishwa kifo kisichopangwa na MUNGU,na MUNGU amsimamie aweze ku recover na kupona ili uma upatekujua kiundani kilichomsibu mpaka kufikia hatua ya kuuwawa na hao manyang'au
 
Mbaya sana hii, na ni kuongeza chumvi kwenye kidonda. Alijisema Shaf Adam Shafi kuwa YANAMWISHO
 
Ikiwa serikali ya Kikwete imehusika au haikuhusika ,basi Raisi Jakaya hana budi kujiuzulu kiungwana kabisa . Raisi awe Muungwana ajiuzulu bila ya tatizo lolote.Na hili litapokewa kwa ukunjufu kabisa.Ili kupisha uchunguzi
 
Wapiganaji popote pale mlipo,

kwa misingi ya mwitiko kwa
vitisho vilivyotolewa na baadhi ya maafisa waandamizi wa serikali kwa Dr Ulimboka na kutokea vile vile walivyowahi kutamka, huyu kiongozi mahiri wa masuala ya utibabu nchini huenda tusiwe naye ndani ya siku chache zijazo endapo 'Wale Madaktari Wenyewe Wale' watakua wamemsogelea hapo kitandani mwake kwa sura ya aina yoyote ile.

Na huo ndio udhaifu wa roho zilizojaa chuki, hila na visasi vitakavyoonelea kuwa ni vema na tena inafaa. Maombi ni kwa Mungu Baba Mwenyezi juu mbinguni toka kwa kila Mtanzania tangu dakika hii hapa.

Na enyi Madaktari na watumishi wengine wa tiba nchini; kutawanyika kwenu kutakua na machozi ya DAMU YA DOKTA ULIMBOKA bila chenga.

Lakini endapo Dr Ulimboka ataaga dunia, wala sitoshngaa makubwa zaidi yakitusalimu mitaani baada ya madhila haya yote.
 

Are u naive or plain stupid ? to fake so as to gain what ? for all those injuries sustained ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…