Yalikuwa ni maisha magumu sana lakini ambayo unapata vitu vya msingi bure tena vya first class!Kumbe elimu na naarifa yote umeyapata pale. Nasikia hawaamini uwepo wa Mungu. Mungu wanamuumbia kwenye akili zao. Mshana wewe ni kiboko, ULIWEZA?? Basi hapa duniani hakuna maisha yanayokushinda. Mimi ningekaa siku moja tu na kufukuzwa.
Taekwondo?Yes
Kung fu..!
Karate
Tai chi🔥