A day in the Buddhist college

Kwa hiyo hiyo level ya enlightment ukifika ndo unakuwaje? Na je kuna wengine waliofika hiyo level tofauti na huyo mkuu???
Utawezaje kuamini katika nafsi then uabudu miungu? Kind of confusing

Level ya enlightenment ndio ya juu kabisa na hakuna mwingine aliyewahi kuifikia
Ni kweli inachanganya lakini wao wanasema ukiangalia ile sanamu ya Buddha ni kama unajiangalia inners elf ni mkanganyiko wa kiimani
 
Philosophy ya Buddhism ni kuamini katika nafsi(self) na final goal ni kufikia level ya enlightenment, level aliyofikia Buddha mkuu Sakyamuni Buddha
Lakini kiukweli Buddhism ni dini ya kuabudu miungu na masanamu
Watu wanaabudu sanamu (China,India) lakin bado Mungu wetu amewabariki wao kuliko sisi ngozi nyeusi tunaojifanya tunaijua sana dini (kuna wanaomlilia Mungu na wanaojitoa mhanga kwa ajili ya Mungu)! Mambo ya dini wakati mwingine ni kizungumkuti.
 
Mkuu mshana jr Kama Imani yao ipo kwenye self being kuna kinzana nn na wenye imani ya Mungu mkuu???!

Mkuu unaweza kuzungumzia nguvu ya Chi??..

Unaweza kufanyaje kupata Chi energy !!?,je ni spiritual energy Au vital energy??
 
Last edited by a moderator:
Nilifanikiwa kumpiga picha huyu budha nchini china, bila shaka ndio huyu
 

Attachments

  • 1439008424655.jpg
    1439008424655.jpg
    32.3 KB · Views: 1,419
Unamaanisha meditation? Maisha yetu chuoni yalijaa meditation lakini ile ya kukaa kimya kwenye lotus posture (yenye maumivu mengi sana) ilikuwa ni dk 50 kila siku lakini pia tulikuwa na meditation retreats za siku 3,5 na 7

Ina maana levitation hamkufundishwa? Levitation ni uwezo wa kutawala gravitational forces na kuelea juu ya maji nahisi chuo chenu kilikuwa fake pole sana
 
Ina maana levitation hamkufundishwa? Levitation ni uwezo wa kutawala gravitational forces na kuelea juu ya maji nahisi chuo chenu kilikuwa fake pole sana

Eeh how??? Na ordination inakuwaje,??
 
Ina maana levitation hamkufundishwa? Levitation ni uwezo wa kutawala gravitational forces na kuelea juu ya maji nahisi chuo chenu kilikuwa fake pole sana

Asante lakini hayo ni mambo ya supernatural natural powers halafu Buddhism sio kwamba ni sect moja tu lazima uelewe hivyo
Ni sawa na leo hii umuulize msabato sala ya Bikira Maria halafu akuambie hajui na kukimbilia kumhukumu
 
Mkuu mshana jr Kama Imani yao ipo kwenye self being kuna kinzana nn na wenye imani ya Mungu mkuu???!

Mkuu unaweza kuzungumzia nguvu ya Chi??..

Unaweza kufanyaje kupata Chi energy !!?,je ni spiritual energy Au vital energy??

Ni kweli kabisa ukizama sana kwenye hiyo self being ni kama kumuabudu lucifer
Chi ni vital power ila inakuja kuwa kama spirit kwakuwa unaweza kufanya mambo mengi zaidi ya matendo ya kawaida ya mwanadamu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom