Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,807
Nadhani samahani kwa kumjibia mkuu mshana ila nafikiri itakuwa ni kwa ajili ya kutujibu yale maswali yetu magumu humu kuhusu maswala yale yasiyojulikana mfn ulozi na mambo mengine kama hayoBaada ya masomo yako uligundua nini? Je unaitumaje elimu uliyopata?