A day in the Buddhist college

imenibidi nicheke tu
 
Hiyo maiti inadindisha wakati haina uhai... How is it possible mkuu??

Huwa napenda sana kufatilia post zako tangu nimejiunga na jf!! Ningependa kujua mengi sana kuhusu hizi natural powers.
Haya mambo yapo sana
 
Naamini yapo na huwa nafatilia kwa karbu sana na hata kuperuzi mtandaon lakini mwisho wa siku naona yananichanganya tu... Ila nikipataga muda huwa napenda kusoma hizo makala.
Jikite kwenye kusoma zaidi na kutafakari kwa kina utafunuliwa mengi
 
Hapana ningekuwa upande wa imani yangu ya asili kwakuwa sikuwahi kuiacha
Kama ulikuwa bado hujaacha imani yako ya kikristo je ulivyokuwa kwa tample za kibudha ulikuwa unasali na kumwamini yesu Siku zote? Au ulivua kwa muda wewe ni kushant tu?
 
Kama ulikuwa bado hujaacha imani yako ya kikristo je ulivyokuwa kwa tample za kibudha ulikuwa unasali na kumwamini yesu Siku zote? Au ulivua kwa muda wewe ni kushant tu?
Chant nilifanya mdomoni rohoni niliimba mapambio na nyimbo za kuabudu... Kama kuna kipindi nilikuwa karibu na Mungu basi kilikuwa kipindi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…