hizi teknolojia hata mimi zinanichanganya kiukweli, niltuma msg ya matusi
kusikohusika nakawa natafuta kitufe cha ku UNDO kwenye simu yangu sijakiona, matokeo yake nikabaki
nimefedheheka tu.
Ni kweli, wakati mwingine mimi nikikosea jambo (katika maisha ya kawaida) nataka ni-UNDO!
au unataka ku'edit, hiii kitu imenichanganya sana.
No no, nilichoandika ndicho ninachomaanisha
ha ha ha ha hahahaaa! nilikuwa naendeleza ulichokiandika, hihihihihihiii...
nimejikuta nacheka mwenyewe, namaanisha kuwa ''au ukitaka ku'edit kitu, nikaendeleza kuwa hiyo kitu inanichanganya
sana. hapo kweli lugha gongana, ha ha ha ha ha ha