parts
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,720
- 1,752
Sisi wote ni wapiga stori tu. Wewe jiulize ni nani aliyepitisha miswada na sheria zote zilizoruhusu lundo na tozo kwa wananchi.
Hao viongozi wako wanatenga tsh ngapi kwa ajili ya matumizi(posho, mishahara n.k) na wanatenga tsh ngapi kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Kodi zote wanazokusanya zinaishia mifukoni mwa wanasiasa, wakati zahanati hazina madawa na vifaa tiba vya kutosha.
Wewe na wanasiasa wenzio ni matapeli tu, sasa "mumejiandaa kumlipa mtumishi wa umma kiinua mgongo kwa asilimia 33% , unataka afanye kazi ipi!?.
Hao viongozi wako wanatenga tsh ngapi kwa ajili ya matumizi(posho, mishahara n.k) na wanatenga tsh ngapi kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Kodi zote wanazokusanya zinaishia mifukoni mwa wanasiasa, wakati zahanati hazina madawa na vifaa tiba vya kutosha.
Wewe na wanasiasa wenzio ni matapeli tu, sasa "mumejiandaa kumlipa mtumishi wa umma kiinua mgongo kwa asilimia 33% , unataka afanye kazi ipi!?.