Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,325
Hii imekaaje Serikali inakusanya kodi kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo kodi ya mapato (payee) ya wafanyakazi wake yenyewe halafu inarudisha tena pesa hiyo kuwalipa hao wafanyakazi mishahara ikiwemo kiasi ambacho ni kodi ya mapato.
Huu mzunguko kwanini usingefupishwa kwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara kamili isiyojumuisha kodi?
Serikali kukata kodi watumishi wake si inakuwa kama kuchuku pesa yako mwenyewe mfuko wa shati kisha kuhamishia mfuko wa suruali?
Huu mzunguko kwanini usingefupishwa kwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara kamili isiyojumuisha kodi?
Serikali kukata kodi watumishi wake si inakuwa kama kuchuku pesa yako mwenyewe mfuko wa shati kisha kuhamishia mfuko wa suruali?